Jino Kwajino
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 191
- 39
Ndugu watanzania na walimwengu kwa ujumla.
Enyi wapenda amani na haki za binadamu.
Enyi wazalendo na wazazi wa taifa hili.
Katiba ya nnchi hii inatamka wazi binadamu wote huzaliwa huru na wana haki sawa, ukiongelea haki ni kitu alichonacho mtu pasipo sababu yoyote ya kiuchumi, kijamii wala kisiasa bali kwakuwa ni binadamu.
Tumeshuhudia hukumu ya babu Seya aliyohukumiwa kifungo cha muda mrefu kwanza akitupwa ndani yeye pamoja na wanawe kwa madai ya kubaka.
Sina cha kukanusha au kusema kuhusu hukumu yake kwani mimi sio mtaalamu wa sheria, ninachowaomba wadau mtakaosoma hapa tuungane kumuomba Mungu haki itendeke leo Nguza afungwe au aachiwe huru kwa misingi ya haki.
Enyi wapenda amani na haki za binadamu.
Enyi wazalendo na wazazi wa taifa hili.
Katiba ya nnchi hii inatamka wazi binadamu wote huzaliwa huru na wana haki sawa, ukiongelea haki ni kitu alichonacho mtu pasipo sababu yoyote ya kiuchumi, kijamii wala kisiasa bali kwakuwa ni binadamu.
Tumeshuhudia hukumu ya babu Seya aliyohukumiwa kifungo cha muda mrefu kwanza akitupwa ndani yeye pamoja na wanawe kwa madai ya kubaka.
Sina cha kukanusha au kusema kuhusu hukumu yake kwani mimi sio mtaalamu wa sheria, ninachowaomba wadau mtakaosoma hapa tuungane kumuomba Mungu haki itendeke leo Nguza afungwe au aachiwe huru kwa misingi ya haki.