Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,452
- 609
atatoka wakat anaenda mahakamani... sasa swali... akitoka mahakamani atarudi tena jela au ataenda Uraiani?
Sasa kwenye heading umeandika nini na humo ndani umechora nini..!!? au ndo ulitaka na wewe uanzishe thread..
Tumsamehe bure. Inawezekana ndio alikuwa anaamuka kutoka usingizini baada ya kutoa ya kuota ndo to mbayaHahaha inawezekana!
Angelawiti mwanao ndo ungeona raha ya yy kusota jela,,malpo n hap hapa dunian na hyo ndo haki yake,weng hamjui hli sakata coz mpo mikoan mlisimuliwa tuu
Ili msiendelee kujadili
mgao wa umeme, mashine za EFDs, tembo, unga, Kapuya, Div 5,
nawahakikishia leo WATAACHIWA HURU.