Babu Duni aonekana Zanzibar


Ina maana amechoka mbunye ya mamako? Mbona mapema hivyo?
 

Nasikia amemaliziwa kias kilichobakia alichokuwa ameahidiwa kupewa kwaajili ya kuhama cuf na kuhamia chagadema
maana dj mbowe na wasanii wenzake wa ukawa walitaka kumpiga cha juu akacharuka
 

Subiri Kidogo na uwe na uvumilivu
EDD ni 25 October,huo unaousikia ni false Labour Pain.
Utazaa tu Mama,sitaki unizalie Premature
 
Kuna ID's zimechachamaa mnoo. .

Katika Ubora wenu
Huyu atakuwa Chin baada ya watu kupuuza anachoandika amebadili ID uandishi na mtililiko wa akili mbovu vinafanana.Njia nzuru ni kumpuuza tu msichangia thread zake.
 
Last edited by a moderator:
ccm wanaomba sana hili litokee. ukawa mkifanya hili litakuwa limewadhalilisha sana..
 
Kuonekana zenj ni ajabu? yeye si mwanadamu bhana. mie nilifikiri ameonekana mawinguni.
 
Angalia Post zote za kijinga kama hizi, join date yake. Na zile zinazunga mkono. Kwel mna propaganda nyepesi Duh
 

Umeota
 
eti magufuli yupo kweli ama ashajitoa
 

Zanzibar ya wapi? Kama Mbeya kuna eneo linaitwa zanzibar basi Babu Duni yupo Zanzibar
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…