baba yangu alivyomtesa mama yangu

baba yangu alivyomtesa mama yangu

Unaishi ndani ya jamii au unaishi peke yako kiciwani..? Mie nimeshuhudia mume anarudi uciku wa manane na kuanza kumdunda mke wake.. Kisa chakula kimepoa..! Unaita hiyo ni sababu ya mcingi..?

Anyway kwangu mie nothing justifies kipigo kwa mwanamke.. Absolute nothing..

The way you are blabbing seems like you not even married. Once you are in then you will no what it takes for a man to beat his wife!

The other side of the story we always dont ask is why did he do it? No body, no man can beat his wife for no good reasons
Why should l lay hands to my beloved wife if i have not been compeled to do so?
 
Kuna msemo mmoja kuwa wanaume mara nyingi hupata wanawake wanaofanana na mama zao....Kwanza hongera kwa hilo kama litafanikiwa maana inaonekana mama yako ni mtu mzuri/mwema sana...Pili pole kwa kupoteza baba japo alikua katili kwa kiasi chake ila ni madhaifu tu ya kimaisha ya wanadamu..tatu jifunze kutokufuata tabia za baba yako...isije kuwa LIKE A FATHER LIKE A SON
 
ni usiku wa kama saa tano ivi namsikia mama akilia kwa uchungu wa kupigwa na kiatu cha baba.....mama anakimbilia kwa watoto baada ya kuona kipigo kimezidi,kwa wakati huo nilikua mdogo wa kama miaka 5 ivi na nililala na dada yetu wa kazi na mdogo wangu wa kike..[uhaba wa vyumba].....kama vile haitoshi baba alivamia chumbani na kuendelea kumpiga mama..nililia sana kwa wakati huo nilichoweza kukifanya ni kufungua mlango alioufunga baba na kuweka mazingira ya mama kutorokea nje mimi na yeye........nakumbuka siku hiyo nilikaa nje tangu saa sita hadi saa 8 huku mvua ikitunyeshea..........na mama alivimba mwili mzima..

baba alifunga milango yote akalala....baadae nilimwomba dada yetu afungue kwa taratibu maana baba alikua akikoroma hivyo kutosikia..nikaingia ndani na mama tukalala........tulijifungia mlango nakumbuka..

asubuh baba alikuja kugonga mlango,haukufunguliwa aliishia kuuvunja na kisha kumhoji mama kwa nini amelala kwa watoto.......akampiga makofi na kisha kwenda zake kazini........

nakumbuka nilikua kindergaten,na mama yangu ndie aliyenipeleka........

vipigo hivi viliendelea siku hadi siku pamoja na vikao kuwekwa mara kwa mara........ila tulikuja kugundua baadae alikua n amwanamke mwingine..na siku akienda huko akirudi ni lazima mama apigwe.Mama alikua mvumilivu sana,si kwa ajili yetu tu bali pia alikua ni mtu wa kusamehe haraka sana,alikua na moyo wa upendo wa hali ya juu

baba alitangulia mbele za haki mwaka 2011.........apumzike kwa amani,japo pengo lako bado lipo ila baba ulikua katili sana kwa mama.Mungu akusamehe kwa hilo...

Nimejifunza mengi sana kwa experience ile ya maisha,namshukuru Mungu kama mwanaume/kijana ninayejiamini na kujitambua..........nina familia [ndoa rasmi mwaka huu],elimu,kazi na kikubwa upendo na heshima si kwamke wangu tu bali pia kwa wanawake wote....nawapa pole wanawake wote wanaopitia magumu yasababishwayo na sisi wanaume......wazidi kumuomba Mungu wao nakuwa wavumilivu.......haya ni mapito tu,twautafuta mji udumuo!!

WANAUME TUBADILIKE TUACHE UNYANYASAJI WA NAMNA YEYOTE ILE.

Pole sana mkuu mimi hilo tatizo hata lilishamkuta jirani yetu ,lakini manyanyaso yalipozidi kwa mama yake alichemsha maji ya moto akamwagia huyo baba basi huyo baba akaungua usoni na kifuani baada ya kupona hakuleta vurugu tena na hata nyumbani akakimbia anarudi mara moja moja .
 
Yaani umenipandisha hasira hapa bhange zote zimenitoka!
Nakuomba kitu kimoja, badala ya kuendekeza hasira ulizorithi, mfanyie mkeo vile ungependa mamako angalifanyiwa na babako. Muheshimu, mpende na kumtunza.
 
Inaumiza sana Habari hii. Namahukuru Mungu kuwa baba yangu hakuwahi nyanyua mkono ampige mama hata siku moja. Ila nilimuona mama akimpiga baba baada ya baba mkubwa kuleta watoto wa nyumba ndogo ya baba nyumbani.
Ilikuwa mwanzo na mwisho wa wale watoto kukanyaga nyumbani kwetu.
Hadi leo nachukia sana nyumba ndogo na watoto wote haramu waliozaliwa na nyumba ndogo zozote zile sababu walisababisha mama yangu akasirike na kumshambulia baba.
 
ni usiku wa kama saa tano ivi namsikia mama akilia kwa uchungu wa kupigwa na kiatu cha baba.....mama anakimbilia kwa watoto baada ya kuona kipigo kimezidi,kwa wakati huo nilikua mdogo wa kama miaka 5 ivi na nililala na dada yetu wa kazi na mdogo wangu wa kike..[uhaba wa vyumba].....kama vile haitoshi baba alivamia chumbani na kuendelea kumpiga mama..nililia sana kwa wakati huo nilichoweza kukifanya ni kufungua mlango alioufunga baba na kuweka mazingira ya mama kutorokea nje mimi na yeye........nakumbuka siku hiyo nilikaa nje tangu saa sita hadi saa 8 huku mvua ikitunyeshea..........na mama alivimba mwili mzima..

baba alifunga milango yote akalala....baadae nilimwomba dada yetu afungue kwa taratibu maana baba alikua akikoroma hivyo kutosikia..nikaingia ndani na mama tukalala........tulijifungia mlango nakumbuka..

asubuh baba alikuja kugonga mlango,haukufunguliwa aliishia kuuvunja na kisha kumhoji mama kwa nini amelala kwa watoto.......akampiga makofi na kisha kwenda zake kazini........

nakumbuka nilikua kindergaten,na mama yangu ndie aliyenipeleka........

vipigo hivi viliendelea siku hadi siku pamoja na vikao kuwekwa mara kwa mara........ila tulikuja kugundua baadae alikua n amwanamke mwingine..na siku akienda huko akirudi ni lazima mama apigwe.Mama alikua mvumilivu sana,si kwa ajili yetu tu bali pia alikua ni mtu wa kusamehe haraka sana,alikua na moyo wa upendo wa hali ya juu

baba alitangulia mbele za haki mwaka 2011.........apumzike kwa amani,japo pengo lako bado lipo ila baba ulikua katili sana kwa mama.Mungu akusamehe kwa hilo...

Nimejifunza mengi sana kwa experience ile ya maisha,namshukuru Mungu kama mwanaume/kijana ninayejiamini na kujitambua..........nina familia [ndoa rasmi mwaka huu],elimu,kazi na kikubwa upendo na heshima si kwamke wangu tu bali pia kwa wanawake wote....nawapa pole wanawake wote wanaopitia magumu yasababishwayo na sisi wanaume......wazidi kumuomba Mungu wao nakuwa wavumilivu.......haya ni mapito tu,twautafuta mji udumuo!!

WANAUME TUBADILIKE TUACHE UNYANYASAJI WA NAMNA YEYOTE ILE.
Your mother chose to be with him.Low self-esteem and insecurity ndio sababu wengine dini.Ila mimi Natalia mwanaume Anifanyie hivyo naua trust me na sitoenda jela
 
Your mother chose to be with him.Low self-esteem and insecurity ndio sababu wengine dini.Ila mimi Natalia mwanaume Anifanyie hivyo naua trust me na sitoenda jela

hutaenda jela kwa sababu mama fisadi na baba msomi, ama kwa sababu umeolewa na muzungu?
 
kama kuna kitu mnakosea sana kina baba ni kupiga mkeo hata kama utaona upendo mara nyingi unakua na maana nyingine lakini sio mume.
 
Pole saana. Lakini mtu akifariki husifiwa kwa mema yake na siyo mabaya...
 
Mkuu lazma una akili sana, hayo unayosimulia with clear memory and plan at five years si kawaid?.. Aisee

back to topic, kupiga/kupigana ni uzaif grade A,

kugombana ni grade B ya uzaif

kuchanganya wajibu, mapenzi na haki ni ni a total disaster
 
ni usiku wa kama saa tano ivi namsikia mama akilia kwa uchungu wa kupigwa na kiatu cha baba.....mama anakimbilia kwa watoto baada ya kuona kipigo kimezidi,kwa wakati huo nilikua mdogo wa kama miaka 5 ivi na nililala na dada yetu wa kazi na mdogo wangu wa kike..[uhaba wa vyumba].....kama vile haitoshi baba alivamia chumbani na kuendelea kumpiga mama..nililia sana kwa wakati huo nilichoweza kukifanya ni kufungua mlango alioufunga baba na kuweka mazingira ya mama kutorokea nje mimi na yeye........nakumbuka siku hiyo nilikaa nje tangu saa sita hadi saa 8 huku mvua ikitunyeshea..........na mama alivimba mwili mzima..

baba alifunga milango yote akalala....baadae nilimwomba dada yetu afungue kwa taratibu maana baba alikua akikoroma hivyo kutosikia..nikaingia ndani na mama tukalala........tulijifungia mlango nakumbuka..

asubuh baba alikuja kugonga mlango,haukufunguliwa aliishia kuuvunja na kisha kumhoji mama kwa nini amelala kwa watoto.......akampiga makofi na kisha kwenda zake kazini........

nakumbuka nilikua kindergaten,na mama yangu ndie aliyenipeleka........

vipigo hivi viliendelea siku hadi siku pamoja na vikao kuwekwa mara kwa mara........ila tulikuja kugundua baadae alikua n amwanamke mwingine..na siku akienda huko akirudi ni lazima mama apigwe.Mama alikua mvumilivu sana,si kwa ajili yetu tu bali pia alikua ni mtu wa kusamehe haraka sana,alikua na moyo wa upendo wa hali ya juu

baba alitangulia mbele za haki mwaka 2011.........apumzike kwa amani,japo pengo lako bado lipo ila baba ulikua katili sana kwa mama.Mungu akusamehe kwa hilo...

Nimejifunza mengi sana kwa experience ile ya maisha,namshukuru Mungu kama mwanaume/kijana ninayejiamini na kujitambua..........nina familia [ndoa rasmi mwaka huu],elimu,kazi na kikubwa upendo na heshima si kwamke wangu tu bali pia kwa wanawake wote....nawapa pole wanawake wote wanaopitia magumu yasababishwayo na sisi wanaume......wazidi kumuomba Mungu wao nakuwa wavumilivu.......haya ni mapito tu,twautafuta mji udumuo!!

WANAUME TUBADILIKE TUACHE UNYANYASAJI WA NAMNA YEYOTE ILE.

Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri ni familia nyingi sana za ki afrika zimetipitia njia hiyo za mama kuteswa na baba,na kama vijana tunahitaji neema ya Mungu tu ili tusipite katika njia hiyo.Mfurahie mke wa ujana wako,kama tukiamua kwa dhati kuwaheshimu wake zetu nao wakajiheshimu basi duniani pangekuwa mahali pazuri sana.WANAUME TUACHE UBABE KUPIGA SI SULUHISHO
 
eee mungu endelea kunibariki mkono wangu uendelee kuwa mzito na kuwa mbali na hasira maana najua kile nisichikipenda ni kuona chozi na mwenzangu likiyoka kwa huzuni niliyoisababisha mie badala ya kulia kwa furaha,nashukuru mungu kunipa huru ya kuhurumia machozi ya binadamu mwenzangu yatokanayo na maumivu ya bi.adamu mwenzake kama wewe na mimi
 
The way you are blabbing seems like you not even married. Once you are in then you will no what it takes for a man to beat his wife!

The other side of the story we always dont ask is why did he do it? No body, no man can beat his wife for no good reasons
Why should l lay hands to my beloved wife if i have not been compeled to do so?

Hivi uliicikia ile keci ya mwanaume ambae alimuua mkewe kwa kuwa tu alimnyima unyumba..? Jamaa alitoka kulewa akarudi saa nane uciku.. kalewa akawa analazimisha unyumba.. Kwa kuwa unaonyesha una viashiria vya ukatili lazima uliunga mkono ukatili ule.. na ulihalalisha kipigo kwa mwanamke kwa kuwa tu amemnyima unyumba katika mazingira yale mumewe..! Unatakiwa uelewe kumpiga mtu yeyote ni kosa la jinai chini ya sheria za nchi..

NB:
Njoo niolee dada yangu halafu ukampige uone hicho kiama kitakachokudondokea..
 
hakuna mwanaume duniani anayechalaza mke wake bila sababu ya msingi
baba yako ana haki ya kutoa maelezo yake halafu ndio tuanze ku comment
utoto wa mama unamsumbuatu huyo akiwa na mke ndo atajua kuwa baba yake kwanini alikuwa akifanya vile. Ateleweshwa na mwanamke
 
Hakuna mwanaume duniani anayechalaza mke wake bila sababu ya msingi
Baba yako ana haki ya kutoa maelezo yake halafu ndio tuanze ku comment

Sababu gani unaweza kutoa kujustify kumpiga mkeo mbele ya watoto na kumfungia nje kama mnyama? huu ni unyama wa Hali ya juu, na inaelekea ulishawahi kupiga mkeo.
 
utoto wa mama unamsumbuatu huyo akiwa na mke ndo atajua kuwa baba yake kwanini alikuwa akifanya vile. Ateleweshwa na mwanamke

Unyama tu. ongea na mkeo, unampiga amekuwa mtoto? Kama vipi mpeane talaka tu manaake ukishafika hatua ya kumpiga mkeo ujue upendo na amani ndani ya ndoa kwisha. Sleep with one eye open.
 
Your mother chose to be with him.Low self-esteem and insecurity ndio sababu wengine dini.Ila mimi Natalia mwanaume Anifanyie hivyo naua trust me na sitoenda jela

Don't be so shallow. It's more than just low self-esteem. This is tanzania we are talking about, where women are disenfranchised and the law isn't on their side for the most part. It's not as simple as packing your bags and leaving because you do not know what will happen to your kids , and there's no such thing as child support or spousal support.
 
Mungu atunusuru na mwanamme mpigaji lakini apana sikai ataniwacha sikuhiyo hiyo,mapenzi yakupigana sijawahi yaona mie..
 
Wanawake mmelipukaajeeee!!!Hahahaaaa....mahusiano si mchezo bana...mtu aliyekubali manyanyaso ya wazungu,tena ndani ya jela for 25 good years,Mheshimiwa Nelson Mandela,alishindwa ku'rescue ndoa yake na Winnie.....!!I hate judging my parents....!!By the way,its a good fundisho....
 
Back
Top Bottom