Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
- Thread starter
- #301
Mkaza...Dah huyu mzee mwanzoni nilimchukulia Kama mtu mwenye elimu kubwa ya historia ya nchi lkn nadhani nilikosea. Ni mtu mwenye maarifa mengi ya UDINI Kila anachokiandika ni kulialia tu mwingine ni FaizaFoxy Hawa watu mh Kama ni dini Basi wameipokea vibaya. Bahati nzuri watanzania waislamu kwa wasio waislamu, wakristo kwa wasio wakristo hawana muda na UDINI lkn wako busy na DINI zao
Tunaweza tukafanya mjadala wa adabu kila mtu akawa anatoa hoja zake.
Lugha za kebehi, ''kulialia,'' mimi nadhani haiendani na mjadala huu.
Wala hapa sijaleta udini.
Nimeweka fikra zangu iweje tukawa na hali hii ya 20:80 baada ya miaka 60 ya uhuru?
Huu si udini.
Udini ni kutumia fursa za nchi kunufaisha jamii moja yenye dini sawa na yako.