Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Waziri...
Sijakuelewa.
Mimi ni nani hapa niko nimejitambulisha kwa jina langu halisi na picha na videos zangu naweka.
Watu wanakifahamu kwa majina, sura na sauti.
Niko JF kwa zaidi ya miaka 10 na nimefikia hadi kupewa tuzo kwa michango yangu.
Wewe nani mwenzangu?[/ hadhira inataka kujua kipi kinachokusukuma kuandika hizi mada zako?na pia ni kwanini maandiko yako yote yanamnasaba wa upande mmoja wa Imani je wewe ni mwanaharakati wa haki na usawa katika kutaka kuvumbua ukweli uliofichwa ili kuleta usawa katika haki tenganifu au wewe ni mzalendo ambaye unahitaji uwepo uthamini wa historia na kuenzi sanjali na kutambulika kwa juhudi za kweli za wapigania uhuru au wewe ni mdini ambaye upo kwaajili ya kutetea maslah ya dini yako ambayo unahisi yanakandamizwa .