''Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema,Andika,Heri wafu wafao katika bwana tangu sasa.Naam,asema Roho.Wapate kupumzika baada ya taabu zao;kwa kuwa matendo yao yafuatana nao''.Amen.
Poleni watoto wa marehem kuanzia na Dr.Lamwai,ukoo mzima na wale wote waliohuzunishwa na msiba huu.
(Mariki familly)