minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 475
- 847
ndugu umeandika kitu kizuri kweli ila kwanini bado unaweka uoga uoga?Professor Kabudi kanywaje dawa isiyothibitishwa,?
Poleni watanzania... Poleni sana wananchi wanyonge wa mwili imara wa roho na thabiti wa ufahamu
Dawa ya Corona iliyofuatwa haraka haraka kwa ndege maalum ya mkuu wa nchi haiwezi kutumika hadi baada ya utafiti utakaochukua takriban siku 180.. Hii sio dawa ya maabara ni dawa ya asili.. Tuwe watulivu tutajulishana aina ya kipimo kitakachotumika kuthibitishwa ubora wake na kama haina side effects.. Hapa TBS na TMDA (TFDA) pengine hazirahusika...
Prof Kabudi anatuchanganya.. Tena sana.. Kwanini sasa asingeagiza kiasi kidogo kwanza kwa ajili ya sampling na kuthibitishwa ndio tutume lidege letu kuleta mzigo wa kutosha?
Nadhani muda utasema lakini naona kuna jambo si la kawaida sana hapa.. Kuna mkanganyiko mkubwa kwenye hili.. Kimamlaka na maamuzi.. Kuna hofu ya wazi pengine hiyo dawa ina madhara makubwa kiafya ama la haina uwezo wa kutibu Corona
Ni muhimu pia kujikumbusha alichosema Waziri wa afya huko inakotoka dawa.. Yeye alisema ile dawa ni kwa ajili ya kinga na si kwa ajili ya tiba kwa waliokwisha ambukizwa.. Ila ndio hivyo tena tumeshaulipia mzigo ambao hatutautumia hadi siku 180 zipite.
Baba nifundishe kuukabili uhalisia nisiukimbie ukweli.. Wahenga walituasa: kwa mwoga kulienda kicheko kwa shujaa kulienda kilio.
Hofu ni adui number moja kwenye kuukimbia ukweli.. Lakini hofu ni silaha number moja kwenye kuukabili uhalisia... Hofu na mashaka huleta mbinu na tahadhari. Ujasiri huleta majigambo na kutojali
Tusitoane hofu katikati ya hatari kubwa.. Tusifiche uhalisia kwa kufutika uvundo kibindoni.. Tuambiane ukweli.. Tutaokoa maisha mengi
Tukiwatoa watu hofu huku sisi tumefichama tunatengeneza tatizo kubwa zaidi.. Wananchi wanakuwa sio makini tena na tahadhari inakuwa ndogo.
Tumepigwa tena kwenye dawa isiyothibitishwa na ambayo hatutaweza kuitumia kwa miezi sita
Mungu wabariki waja wako.. Na watesi wa wana wako... Wabariki pia
Jr
Na wenye akili pia wamekuona una akili gani!! Hahahaha yaani junior hapa nimemwambia kuna GT anasema eti pro alikunywa ile sample ili kama ina madhara afe yeye kwanza, kacheka kaniomba niimfanyie mpango ajiunge jf kwan na yeye pia atakuwa ni GTKazi yako ww ni kupotosha watu dhidi ya hatua ambazo serekali inachukua
ukibandika andiko lolote la kupotosha hapo utanikuta nitakujibu. Hii staili yako ya kuponda kwa lengo la kutafuta attention punguza bro hujui kitu ww!!!
Ww ni mkurupukaji hakuna asiyekujua humu unajipenyeza kwenye kila habari inayo trend lazima ubandike upupu
Tiba mbadala zote mchakato wake ni tofauti..serekali haiwezi kuingia kichwa kichwa inachukua hizo tiba mbadala kwa ajili ya public consumption ya wananchi wake kabla ya ku test
Proff Kabudi kaonyesha uzalendo wa hali ya juu kitendo cha yy kunywa dawa kabla ya mtz yy ameonyesha imani kwenye dawa.....
pili hata kama dawa itakuwa na madhara basi ianze kumdhuru yy kabla ya mtanzania yyte yule
kuna misukule mingi isiyojielewa unaikamata humu na upupu wako,.......
eti unazungumza gharama ya kurusha ndege!!!?
kuna gharama ipi dhidi ya uhai wa watz.....
nyie ndio vimbelembele mnapiga kelele raisi afanyi kazi!!??
jitihada zinafanyika za wazi unapiga kelele eti gharama ya ndege!!?punguza GILIBA punguza upotoshaji wenye akili wameona wameelewa.
Who are you!??Na wenye akili pia wamekuona una akili gani!! Hahahaha yaani junior hapa nimemwambia kuna GT anasema eti pro alikunywa ile sample ili kama ina madhara afe yeye kwanza, kacheka kaniomba niimfanyie mpango ajiunge jf kwan na yeye pia atakuwa ni GT
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahitaji ya nyakatindugu umeandika kitu kizuri kweli ila kwanini bado unaweka uoga uoga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wenye akili pia wamekuona una akili gani!! Hahahaha yaani junior hapa nimemwambia kuna GT anasema eti pro alikunywa ile sample ili kama ina madhara afe yeye kwanza, kacheka kaniomba niimfanyie mpango ajiunge jf kwan na yeye pia atakuwa ni GT
Sent using Jamii Forums mobile app
Misukule kama hii ndio inakupa bidii ya kuposti ujinga.....
Demokrasia ni pamoja na kukubali kukosolewa...
ww ni mfupi kwa akili hilo limethibitika.....
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu..!!
sehemu yyte nitakoyokuta umepotosha nitakutandika......
tek that to your wallet...stpd man
Ha ha haa misukule huwa haielewi kabisa!!Imebidi nicheke tu,unatumia nguvu kubwa sana kuexpose Incompetence yako ktk kujenga hoja!
Hii ndio shida ya ugeni wenu hapa JF! Mnachosha sana na hizi comments zenu za kipuuzi na ujinga mwingi!Ha ha haa misukule huwa haielewi kabisa!!
Yaani chupa mbili tu, tuuu! Nashindwa kuaminiUmewaza kama mimi. Iweje tutumie gharama kuuubwa kiasi kile (mafuta yaliyotumika, posho za wasafiri na cabin crew na posho zao, gharama za chakula na malazi) kwenda kufuata chupa mbilizenye ujazo wa 500mls@. Yaani tukashindwa hata kupiga simu tu kuwaambia "wazee, tunaomba mtuwekee kwenye buti ya meli/ndege ya mizigo hizo chupa mbili pesa tunatuma mpesa na ya kutolea." Ama hata angetumwa mfanya usafi tu wa wizarani akimbie faster.
Aliyesema maajabu ya dunia yako 7 pekee, apimwe akili.
Ukisikiliza vizur hotuba, anajichanganya mno.Hiyo ya kwenye maboksi si ya Wamadagascar waishio nchini ikiwa imetolewa na ndugu zao walioko Madagascar? Au sikumwelewa vizuri Kabudi. Yetu ni chupa mbili tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo angalau umeongea la maana, kumbe ukiacha mambo ya uchawi una akiliLeo angalau umeongea la maana, kumbe ukiacha mambo ya uchawi una akili.
Huyu jiwe kajaa ego sana ndicho kinachomsumbua, anajiona smart dunia nzima, kwa hiyo hasikilizi chochote anaamini anachoamini ndicho sahihi na hakuna wa kumwambia chochote. Hiyo ndiyo shida yake tu
When wise man are silent..Misukule kama hii ndio inakupa bidii ya kuposti ujinga.....
nishakujua ww ni wa kupuuza ......
" When wise man are silent ignorance multiplier"
Wananchi wao ni wananchi wetu..?Mkemia mkuu wa serikali anasema Dkt. Fidelice Makumiko amesema : ''Dawa hizi ni msaada, na hawawezi kukataa kitu ambacho wamepewa...dawa hii tumeipokea kama msaada na sio kwa ajili ya kugawa kwa wananchi ... dawa hii tumeipokea kama zawadi kwa ajili ya kufanya utafiti wakatuonyesha kuwa ni salama na haina madhara kwa wananchi wao''View attachment 1445485View attachment 1445487
Jr
Prof kanywa sample ya utafiti