Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,795
- Thread starter
- #41
Naomba nikusahihishe kwa upole na kwa hoja makini maana naona hukauki na mimi..Hv mkuu huwa unafikiria kabla ya kuandika!!?
hiyo sample imekuja kwa ajili ya research kabla ya kwenda kwenye public consumption.....
unasema tumepigwa!???wp
hizo boksi 13 hata mm kapuku ningeweza kununua zote kwa bei wanazouza huko Madagascar..
ushaambiwa hizo ni zawadi....
ww ni mwepesi kinoma nimekutoa kwenye levo za u GT
ww ni mpiga kelele tu....
kila kinacho-trend umo na ujuajit batili.
Naaamini umefuatilia hili sakata lakini ukakosa umakini
Tuliambiwa kuwa Madagascar wamegundua dawa ya Corona na tumeona rais wao akiinywa.. Kuthibitisha kuwa sasa ni dawa rasmi
Sisi tukatuma ndege kwenda kuleta dawa na mheshimiwa wetu prof akainywa Kuthibitisha kuwa ni dawa halisi
Habari za zawadi na sample zimekuja kutokea huku Tanzania
Je dawa zote ndio hupitia utaratibu huo?
Je kuna risk kiasi gani kiongozi mkubwa anapotumia kitu kilichopo kwenye majaribio?
Kuna mengi huyajui nakushauri kaa kimya.. Huwa sikurupuki hata siku moja kwenye post zangu.. Sijui kama unafahamu gharama za kurusha kile chombo kwenda na kurudi Madagascar...
Jr