Sijaelewa
Picha bila maneno sawa na kula ugali bila mboga jamano
kweli kabisa hapo sijaelewa hata mmoja..labda kuna mtu kama Monica hivi sijui ni yeye?
Nimemuona Monica arnold tu,na sijui kama kweli huyo ni baba yake,maana wapo sawa,mwingine ni AL SHARPTON
Hivi kama nimemwona kimei wa crdb😉