NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,331
- 47,077
Basi kuna dogo anaitwa kifuta kila siku akipewa homework shule huwa anampa mdingi wake amfanyie, basi siku moja mdingi hakurudi nyumbani na dogo akaamua afanye mwenyewe, alipompa mwalimu asahihishe, mwalimu alishangaa akamuuliza yule dogo
mwalimu: We kifuta kila siku huwa unafanya vibaya na unakosa zote kabisa, leo ni ajabu umepata zote, hebu sema ukweli au baba kakusaidia?
kifuta: hapana mwalimu , jana baba hakurudi nyumbani, kwa hiyo niliamua kufanya mwenyewe.
mwalimu: We kifuta kila siku huwa unafanya vibaya na unakosa zote kabisa, leo ni ajabu umepata zote, hebu sema ukweli au baba kakusaidia?
kifuta: hapana mwalimu , jana baba hakurudi nyumbani, kwa hiyo niliamua kufanya mwenyewe.