Big differenceHuyu alimzaa mbwana samata na kuna baba alimzaa Lucas Mwashambwa
rip mzee wetu![]()
Samatta apata pigo zito, afiwa na baba mzazi
NI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta 'Samagol' kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Pazi Samatta.mwanaspoti.co.tz
Innalillahi wainna ilayhi rajiuunNI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Mbwana Samatta kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Samatta.
Mzee Samatta amefariki dunia leo hii nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa ndugu wa familia, Mzee Ally Samatta alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya.
View attachment 3396147
Source: Mwanaspoti
Mno Mkuu na mpaka tembea yake Mwanae Mbwana kairithi. Pole sana kwa Popa Mbwana Samatta. Ni safari yetu sote ila Baba yake Kututangulia tu. Tumuombee mapumziko mema na Mwenyezi Mungu ampunguzie au amfutie kabisa Dhambi za Kaburini.Alimlea mtoto wake kimaadili...
Ila huyu aliyemzaa lucas amekula hasara!Huyu alimzaa mbwana samata na kuna baba alimzaa Lucas Mwashambwa
Apumzike kwa amani