TANZIA Baba Mzazi Wa Mbwana Samatta Afariki

TANZIA Baba Mzazi Wa Mbwana Samatta Afariki

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,615
Reaction score
40,162
NI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Mbwana Samatta kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Samatta.

Mzee Samatta amefariki dunia leo hii nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa ndugu wa familia, Mzee Ally Samatta alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya.

1751788873938.png


Source: Mwanaspoti
 
Back
Top Bottom