Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Baba Mzazi wa aliyekuwa muigizaji wa filamu nchini Steven Kanumba, Mzee Kanumba, amefariki dunia leo Machi 8, 2020,
katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa akipatiwa matibabu, msiba upo nyumbani kwake alipokuwa anaishi, Mjini Shinyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa akipatiwa matibabu, msiba upo nyumbani kwake alipokuwa anaishi, Mjini Shinyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app