Baba Mzazi wa aliyekuwa muigizaji wa filamu nchini Steven Kanumba, Mzee Kanumba, amefariki dunia leo Machi 8, 2020

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,397
Baba Mzazi wa aliyekuwa muigizaji wa filamu nchini Steven Kanumba, Mzee Kanumba, amefariki dunia leo Machi 8, 2020,

katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa akipatiwa matibabu, msiba upo nyumbani kwake alipokuwa anaishi, Mjini Shinyanga.

FB_IMG_1583673741540.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sjui kama atamkuta kanumba huko ,ama bado Anatumikia imani yake
 
Sisi wabongo huwa tunakuja kutoa pole full time mchezo unapokuwa umeisha.... Pole ambazo hazimsaidii mhusika.
 
Back
Top Bottom