Baba Mweusi mama Mweupe..Mtoto atakuwaje?

demarcustaniquamarley1.jpg
hapa huyu kagongewa live
 
Tell me about this
18739677_1907557879459278_3907085817215909831_n.jpg
sasa mbona picha na maelezo yake yanajieleza mkuu HIYO NI SPECIAL CASE rare sana kutokea na nafikiri ni yy tu ndio anayebeba set tofauti za DNA ktk mwili mmoja.bali pia kuna case mbali mbali kama za hawa wa2 wanaotokea fiji ambao wengi wao karibia 75 percent of poppulation wana blue(namaanisha pure blue) eye japokiwa ni blacks na wana DNA codes sets tofauti na zetu yaani binadamu sisi.
 
sasa mbona picha na maelezo yake yanajieleza mkuu HIYO NI SPECIAL CASE rare sana kutokea na nafikiri ni yy tu ndio anayebeba set tofauti za DNA ktk mwili mmoja.bali pia kuna case mbali mbali kama za hawa wa2 wanaotokea fiji ambao wengi wao karibia 75 percent of poppulation wana blue(namaanisha pure blue) eye japokiwa ni blacks na wana DNA codes sets tofauti na zetu yaani binadamu sisi.
Asante
 
Mkuuu nachokumbuka kwenye bios inategemea na alele Carry yan unaeza kuta baba mweupe ina ana carrie nyeus phenotype sas mtoto anarithi phenotype ktoka kwa wazazi inadepende carrie ni zp ndio mana kabla hamjaona mnaambiwa mkafanya gene assament unaeza jua kila kitu
 
Back
Top Bottom