Wanajukwaa mambo.Leo tupeane mawazo kidogo kuhusu hili swala ambalo limekuwa likileta sintofahamu,migogoro na hata kuvunjika kwa ndoa/mahusiano.Hii imeeathiri wengi hata jirani yangu yalimkutaga.
Yaani unakuta Baba mweupe mama mweupe watoto weusi ti.kama naisikia ngoma ya bushoke vile"Huyu katoka kwa Babuuuuuu''Hebu tupeane uzoefu wajumbe
#Wadau wa genetics na wafukunyuzi wa mambo najua majibu hamkosi.
Yaani unakuta Baba mweupe mama mweupe watoto weusi ti.kama naisikia ngoma ya bushoke vile"Huyu katoka kwa Babuuuuuu''Hebu tupeane uzoefu wajumbe
#Wadau wa genetics na wafukunyuzi wa mambo najua majibu hamkosi.