Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana kuwa ndio baba mwenye umri mdogo zaidi duniani
Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster
Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita , na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15
Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani
View attachment 395211. Sean akiwa na mtoto wake
View attachment 395212. Sean akiwa na mtoto wake
View attachment 395213. Sean akiwa na mpenzi wake na mtoto wake