Baba mtoto kaninunia

Baba mtoto kaninunia

Mimi sioni shida mzazi mwenzio kuendelea kuwasiliana na ndugu wa mzazi mwenzake cuz wale ni ndugu wa watoto wake pia.
What if kitu kikimpata mama wa watoto wake, how will he know kama hawasiliani na ndugu zake? Sometimes vitu kama hivyo unapuuzia tu ili mradi he is not cheating with her.

Halafu, ukimpa sana airtime mwanaume esp kwa mambo madogo madogo atakuchukulia boya..Wewe muache apost hata watoto mia, view status and make sure ameona umeview ila do not ask.Keep yourself busy.Yeye mwenyewe atashangaa mbona huoneshi wivu na kujistukia.

Same otherwise akipost mwanamke wewe tulia tuliiii.I knw inauma ila tulia tu, Atajichokea tu.
 
Ajue mipaka yake ameshakua na familia nyingine tayari
Usiseme hivyo.Mawasiliano si kitu cha kumpangia mtu ili mradi kuna heshima.

Imagine wewe ndo ungekua una mtoto wako somewhere then anakulimit kwamba usiwasiliane na shangazi , bibi au baba mdogo wake, how would you feel?
 
Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.
Ww kaa lea mume wako mpe huba lote tofauti na hivo unatafuta Kuachwa .
 
Mfano.
Uoe mwanamke umemkuta na mtoto tayari. Akawa na ukaribu sana na ndugu wa baba mtoto kutembeleana nakupostiana hivyo.
Itakuwa sawa kwa upande wako?

Sina haja ya kujibu, maana nitakuwa mgonjwa kuoa mwanamke mwenye mtoto
 
Kupostiwa ndio upendo siku hizi???acha akili za kimandazi,,, wenzako wanapambania wapewe mitaji wafanye maendeleo wapate jikimu vyema na wanao,,wewe unang'ang'ana na kupostiwa kwa mtoto wako,,,ndio maana mnazalishwa na kuachwa,,,akipostiwa ndio italeta ugali hapo ndani??amka wewe Mjukuu wa Chief hangaya
 
Kupostiana ndio love thermometer mpyaa? Nje ya hapo anampenda mwanao? If yes, endelea tu na huyo mume wako muangalie mambo mengine
 
Mlishaambiwa kamwe usiolewe na single father. Haya sasa umelikoroga, linywe.
 
Back
Top Bottom