Baba mtoto kaninunia

Baba mtoto kaninunia

Merciana

Senior Member
Joined
Sep 6, 2017
Posts
103
Reaction score
327
Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.
 
FB_IMG_16795955490286717.jpg

Mimi naomba niambiwe faida ya kuoa au kuolewa na mtu ambaye tayari ana watoto.

Msipokuwa makini mtafika mbinguni mkiwa hoi
 
Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.
Bora leo mmeongea nyie Ke. Huwa tunasema kila siku, watu waliozaa waoane wenyewe kwa wenyewe ndio wqnawezanq na drama zao.

Uzi huu unathibitisha kuwa sio single mother wala single dady wote chungu kimoja.

Pole sana binti, ndio hali ya dunia
 
View attachment 2585282
Mimi naomba niambiwe faida ya kuoa au kuolewa na mtu ambaye tayari ana watoto.

Msipokuwa makini mtafika mbinguni mkiwa hoi
Mkuu, hakuna faida ni ma drama tu. Unajua mtoto asiye wako hata ukimfinya kwa lengo zuri la kumrekebisha kunakua na mawili. Moja wewe mwenyewe ujishtukie kwamba mzazi wake atanionaje au mzazi wake akuchulie kuwa humpendi mwanae.

Ni changamoto buda
 
Assume tu kuwa huyo ni mwanae na umkubali kama ulivowakubali hao wawili...maana hata ukisema utembee mbele tayar utakua single mother na hapo ndo moto utakuwakia toka kwa wajuba wa JF.!!!!...kamati ya "USIOE SINGO MAZA &KATAA NDOA" inakuja,get prepared!
 
Assume tu kuwa huyo ni mwanae na umkubali kama ulivowakubali hao wawili...maana hata ukisema utembee mbele tayar utakua single mother na hapo ndo moto utakuwakia toka kwa wajuba wa JF.!!!!...kamati ya "USIOE SINGO MAZA &KATAA NDOA" inakuja,get prepared!
Siyo mtoto wake ni mtoto wa shemeji yake kwa mzazi mwenzake
 
Bora leo mmeongea nyie Ke. Huwa tunasema kila siku, watu waliozaa waoane wenyewe kwa wenyewe ndio wqnawezanq na drama zao.

Uzi huu unathibitisha kuwa sio single mother wala single dady wote chungu kimoja.

Pole sana binti, ndio hali ya dunia
Tena wanaume ndo hataki hata kuulizwa chochote tunaenda tu huku tumefumba macho
 
Back
Top Bottom