Baba mtoto kaninunia

Baba mtoto kaninunia

Ndo matatzo ya mwanamke mwenye mtoto kuolewa na mwanaume mwenye mtoto yan ni mattzo tu
Why km unajua umezaa usitafte mtu ambae hajazaa apo mtaishi ila hii yenu hii kla sku itakua ugomvi

Lkn pia wanaume huwa tunatabia za kipumbavu sana wakat mwingne ingelikua ni mwanamke ndo kamposti uyo mtoto ugomvi wake ungekua niwadunia ingne ila kwakua ni mwanaume kafanya ivyo bas anajiona yuko sawa na ni haki yake kufanya ivyo uwo ni ujinga

Tuacheni uanaume usio na maana
Amenuna hata hanisemeshi
 
Hizo ni minor case,ukue sasa
Mtu wa hivyo ni kumpuuzia
Kwenye maisha huwezi kukutana na mteremko kila siku,hizo ndo changamoto zenyewe,kama unapenda mitandao post na wewe wa kwako
Inawezekana akawa wake pia
 
Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.

Nyie watu mna shida:

1. Anaishi na wewe kwa hiyari yake, ina maana kakuchagua wewe.
2. Mna watoto, hiyo ina maana hao watoto wako unaowataka status ni wake pia, kwa hiyo ajafanya ubaguzi

Mbona ni kama unafuatiliya mambo ya kijinga?
 
Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kaziqmwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.

Habari za mchana ndugu zangu.

Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi...

Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia ni mdogo wa mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine, yani mtoto wa mdogo wa mzazi mwenzake

Ikabidi niulize kwanini ampost mbona mtoto wangu huwa hampost hata birthday hakumuwish?....
Watoto wake wawili nawafahamu na sina shida juu ya watoto wake shida ni kwanini mtoto wa shemeji yake?

Hivi ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa na ukaribu na ndugu wa mzazi mwenzake while tayari mimi naishi naye?

Kuna vitu vingine vinaonekana ni vidogo ila vinaimpact kubwa badaye.

Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao.

Hii ni kweli

"Ni kazi sana kuwa na mahusiano na mwanamke au mwanaume aliyezaa kabla na wasiojua mipaka yao"

Labda kuna mtu alikulazimisha? Maana huwa mkiambiwa hamsikiagi kabisa.
 
Nyie watu mna shida:

1. Anaishi na wewe kwa hiyari yake, ina maana kakuchagua wewe.
2. Mna watoto, hiyo ina maana hao watoto wako unaowataka status ni wake pia, kwa hiyo ajafanya ubaguzi

Mbona ni kama unafuatiliya mambo ya kijinga?
Mfano.
Uoe mwanamke umemkuta na mtoto tayari. Akawa na ukaribu sana na ndugu wa baba mtoto kutembeleana nakupostiana hivyo.
Itakuwa sawa kwa upande wako?
 
Wewe na mwanaume wako bado mna akili za kitoto, washamba wa mapenzi na bado hamja komaa kwenye mambo ya mahusiano.
Namaanisha kwamba, wewe na huyo mvulana bado hamjaanza kuishi maisha yenu halisi na mnazuzuliwa na mitandao ya kijamii ili kuionesha dunia ione na kisha iwapangie maisha yenu.
 
Wewe na huyo mvulana unae ishi nae, wote hamjui mipaka yenu
 
Kwa style hii sidhani kama mahusiano yenu yatafika mbali with good future
 
Back
Top Bottom