BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,489
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo.
-Umri 28
-Mrefu
-Mweusi wastani
-Mpole kimuonekano na tabia
-Mfanyakazi
Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza kuwa mke nahitaji mwenye sifa zifuatazo.
-Umri (20-25)
-Rangi yoyote
-Urefu wastani
-Mpole
-Elimu Form four.
Hii ni serious mwanamke aliyetayari apige hodi PM kwangu nami nitamfungulie na kumupokea kwa mikono miwili.
-Umri 28
-Mrefu
-Mweusi wastani
-Mpole kimuonekano na tabia
-Mfanyakazi
Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza kuwa mke nahitaji mwenye sifa zifuatazo.
-Umri (20-25)
-Rangi yoyote
-Urefu wastani
-Mpole
-Elimu Form four.
Hii ni serious mwanamke aliyetayari apige hodi PM kwangu nami nitamfungulie na kumupokea kwa mikono miwili.