wende
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 714
- 65
Kuna dingi ni mnene ile mbaya, basi wakati amenda job huku home akiwa amewacha wanae akaja rafiki yake ambaye ukweli ni mnene kupitiliza!
Mgeni:Baba yenu yupo?
Watoto:Hapana....baba kaenda job.
Mgeni: Haya akirudi mwambieni nilikuja
Watoto: Haya
Basi huku nyuma baba akarudi toka job. Cha kwanza watoto wakampokea vizuri na kumweleza yaliyojiri kuwa baba kuna mgeni wako kaja kukulizia.
Watoto: Ila baba du
Baba: vipi?
Watoto: Yaani baba huyo mgeni alokuja alivyomnenee!
Baba: What?
Watoto: Baba rafiki yako anatisha,unene wako kwa yule jamaa,wewe ni cha mtoto!
Baba: What?
Watoto: Baba, rafiki yako amekuzidi unene!
Baba: ha ha ha ha
...yaani dingi anacheka mpaka kasahau kuuliza jina la mgeni...........
sorry kwa wanene,this is just a joke!
Mgeni:Baba yenu yupo?
Watoto:Hapana....baba kaenda job.
Mgeni: Haya akirudi mwambieni nilikuja
Watoto: Haya
Basi huku nyuma baba akarudi toka job. Cha kwanza watoto wakampokea vizuri na kumweleza yaliyojiri kuwa baba kuna mgeni wako kaja kukulizia.
Watoto: Ila baba du
Baba: vipi?
Watoto: Yaani baba huyo mgeni alokuja alivyomnenee!
Baba: What?
Watoto: Baba rafiki yako anatisha,unene wako kwa yule jamaa,wewe ni cha mtoto!
Baba: What?
Watoto: Baba, rafiki yako amekuzidi unene!
Baba: ha ha ha ha
...yaani dingi anacheka mpaka kasahau kuuliza jina la mgeni...........
sorry kwa wanene,this is just a joke!