Baba Mnene!

Baba Mnene!

wende

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2009
Posts
714
Reaction score
67
Kuna dingi ni mnene ile mbaya, basi wakati amenda job huku home akiwa amewacha wanae akaja rafiki yake ambaye ukweli ni mnene kupitiliza!
Mgeni:Baba yenu yupo?
Watoto:Hapana....baba kaenda job.
Mgeni: Haya akirudi mwambieni nilikuja
Watoto: Haya
Basi huku nyuma baba akarudi toka job. Cha kwanza watoto wakampokea vizuri na kumweleza yaliyojiri kuwa baba kuna mgeni wako kaja kukulizia.
Watoto: Ila baba du
Baba: vipi?
Watoto: Yaani baba huyo mgeni alokuja alivyomnenee!
Baba: What?
Watoto: Baba rafiki yako anatisha,unene wako kwa yule jamaa,wewe ni cha mtoto!
Baba: What?
Watoto: Baba, rafiki yako amekuzidi unene!
Baba: ha ha ha ha

...yaani dingi anacheka mpaka kasahau kuuliza jina la mgeni...........
sorry kwa wanene,this is just a joke!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom