Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Dah poa braza tunaheshimu maamuzi yako, usirudi tu ukweni, sio sababu ya mahari kubwa ila kuombwa kurudisha gharama ya tafrija ile sio sawa kabisa maana we hukuwaambia waandae tafrija ila ni wao kama wao
Ni wachaga ila event waliifanya kiswahili sana
 
True
 
Kulikua na kila dalili kuwa nilikua nafanyiwa udalali na Mzee alikua amepiga ukimyaa tu
 
Utalipa tu iyo ela
Umenikumbusha mjomba wangu juzi tu hapa kaenda kumalizia mahari alipooa na hapo ana watoto wakubwa wameoa na wajukuu kibao kapata.....lazima uje ulipe tu
 
Kuna jamii za kiafrika zina practise Human traficking
 
Ukiachana na Mahari kuwa 5M plus haijadiliki

Kitendo cha wewe kulipia Gharama za wao kuandaa sherehe hii mpya...

Sitaki kuwahukumu wachaga wote ila kama ndio utaratibu wenu ndugu zangu thats too much!!

5M hiyo unatoa kwa familia ya Mkeo mtarajiwa kama mahari hizi ni gharama ambazo lazma utazilipa kama Bwana Harusi
--- Gauni la Harusi plus Saloon Nafikri
--- Pete za ndoa
--- Suti ya Bwana Harusi
--- Gharama ya Ukumbi
--- Gharama za Kikao cha kwanza
--- Gharama za Usafiri kwenda kulipa 5M
Plus mambo mengne madogo madogo
Mkuu bora umesepa Kibingwa ila mwambie Afisa Ustawi wa Jamii kwamba gharama zimekua kubwa u cant afford ili ajue ukwel.
 
Ndugu nikupe pongezi kwanza kwa kuilipia hiyo Karamu uliyoandaliwa, ningekuwa mimi huyo baba mkwe, mama mkwe, mashangazi wakwe na mtoto wao wasingekuwa na hamu na mimi tena.

Binafsi nilishaweka kikomo kwenye mahari, isizidi milioni hapo ni kila kitu. Mambo ya mkaja wa nani sijui mkaja wa nani mimi yananihusu vipi!?
 
Lengo la huu uzi ni kuwachafua wachaga kuonyesha hawaoleki.
Kaoe kwenu kwa mahari ya kuku hao std 2 hata lasaba hawamalizi. Butu ile mbaya.

Huwezi chukua kichwa huku unalalamika.

Eti umemtia mimba.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika wewe ni [emoji241].
Mimba inatolewa. Damu ya kijinga kama yako inachafua ukoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…