blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,416 Reaction score 16,790 Oct 4, 2023 #41 MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Piga kifua sema umempata baba mkwe mwana sana . Yapo mengine hapo yangetaka uyape mpaka hela za kuzeekea na kuzikwa nazo ila hilo libaba mkwe lako lina miakili sana Click to expand... Wewee... Shtuka.. hawana miaka miwili hao.
MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Piga kifua sema umempata baba mkwe mwana sana . Yapo mengine hapo yangetaka uyape mpaka hela za kuzeekea na kuzikwa nazo ila hilo libaba mkwe lako lina miakili sana Click to expand... Wewee... Shtuka.. hawana miaka miwili hao.
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,416 Reaction score 16,790 Oct 4, 2023 #42 Donatila said: Hili la kutotoa mahari ndio linawafurahisha sana vijana wa sasa wapenda kitonga... Click to expand... Siku wake zao wakirudi saa nane za usiku wasiwaulize..
Donatila said: Hili la kutotoa mahari ndio linawafurahisha sana vijana wa sasa wapenda kitonga... Click to expand... Siku wake zao wakirudi saa nane za usiku wasiwaulize..
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #43 blogger said: Siku wake zao wakirudi saa nane za usiku wasiwaulize.. Click to expand... Mkuu soma vizuri upate kuelewa
blogger said: Siku wake zao wakirudi saa nane za usiku wasiwaulize.. Click to expand... Mkuu soma vizuri upate kuelewa
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,416 Reaction score 16,790 Oct 4, 2023 #44 Mr sule said: Mkuu soma vizuri upate kuelewa Click to expand... Utarudi tena hapa mkuu. Ntaelewa hapo baadae.
Mr sule said: Mkuu soma vizuri upate kuelewa Click to expand... Utarudi tena hapa mkuu. Ntaelewa hapo baadae.
Sifi Leo Platinum Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,939 Reaction score 10,823 Oct 4, 2023 #45 Mzee alitakiwa akwambie ukapimwe kaswende na maralia na ngwengwe
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,274 Oct 4, 2023 #46 Elli said: Hii story imeanza kwa kutumia wakati uliopo na ghafla ikahitimishwa kwa wakati uliopita! Kikubwa umeoa bila mahari, ashukuriwe MUNGU Click to expand... Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha
Elli said: Hii story imeanza kwa kutumia wakati uliopo na ghafla ikahitimishwa kwa wakati uliopita! Kikubwa umeoa bila mahari, ashukuriwe MUNGU Click to expand... Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,211 Reaction score 99,970 Oct 4, 2023 #47 Glenn said: Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha Click to expand... Umeona eeegh!? Tabu tupu
Glenn said: Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha Click to expand... Umeona eeegh!? Tabu tupu
Dr hyperkid JF-Expert Member Joined Jun 7, 2019 Posts 13,740 Reaction score 27,104 Oct 4, 2023 #48 huo ni mtego dogo
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #49 Glenn said: Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha Click to expand... Soma vizuri
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #50 Elli said: Umeona eeegh!? Tabu tupu Click to expand... Soma vizuri
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #51 Donatila said: Soma kwa makini sana hiyo comment itakusaidia... Vijana wapenda vitonga ni wengi unaweza usiwe wewe... Click to expand... Duh si kweli
Donatila said: Soma kwa makini sana hiyo comment itakusaidia... Vijana wapenda vitonga ni wengi unaweza usiwe wewe... Click to expand... Duh si kweli
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,247 Reaction score 25,191 Oct 4, 2023 #52 Mr sule said: Duh si kweli Click to expand... Wazazi wanajua vyema sana watoto wao .. Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa.. Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende... Sikutishi...
Mr sule said: Duh si kweli Click to expand... Wazazi wanajua vyema sana watoto wao .. Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa.. Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende... Sikutishi...
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #53 Nzagambaaa said: Mzee anamjuua mwanae,unaweza Kuta hatulii na mwanaume! Koo mzee hatakii aibu. Take care Click to expand... Hii si kweli,
Nzagambaaa said: Mzee anamjuua mwanae,unaweza Kuta hatulii na mwanaume! Koo mzee hatakii aibu. Take care Click to expand... Hii si kweli,
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,274 Oct 4, 2023 #54 Mr sule said: Soma vizuri Click to expand... (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Kwenye mabano hapo juu ulimaanisha nini Sule?
Mr sule said: Soma vizuri Click to expand... (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Kwenye mabano hapo juu ulimaanisha nini Sule?
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,274 Oct 4, 2023 #55 Elli said: Umeona eeegh!? Tabu tupu Click to expand... (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa Thanks Quote
Elli said: Umeona eeegh!? Tabu tupu Click to expand... (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa Thanks Quote
K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 8,625 Reaction score 12,172 Oct 4, 2023 #56 Baba ameona si vyema kumfanya mwanae kuwa bidhaa ya kuuzwa. Awafundishe na wazee wengine. Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Baba ameona si vyema kumfanya mwanae kuwa bidhaa ya kuuzwa. Awafundishe na wazee wengine. Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,211 Reaction score 99,970 Oct 4, 2023 #57 Glenn said: (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa Thanks Quote Click to expand... Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz
Glenn said: (Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.) Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa Thanks Quote Click to expand... Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #58 Donatila said: Wazazi wanajua vyema sana watoto wao .. Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa.. Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende... Sikutishi... Click to expand... Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia. Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji. Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini.
Donatila said: Wazazi wanajua vyema sana watoto wao .. Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa.. Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende... Sikutishi... Click to expand... Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia. Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji. Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini.
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,247 Reaction score 25,191 Oct 4, 2023 #59 Mr sule said: Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia. Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji. Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini. Click to expand... Oooh! Mwanamke "mpambanaji"...
Mr sule said: Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia. Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji. Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini. Click to expand... Oooh! Mwanamke "mpambanaji"...
Mr sule JF-Expert Member Joined Oct 14, 2021 Posts 606 Reaction score 1,115 Oct 4, 2023 Thread starter #60 Elli said: Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz Click to expand... Mkuu cwz kuelezea proccess zote hapa. niandika kwa kuchukua matukio. Cheki cha ndoa ukipewa unapeleka serikali kukiweka kwenye system. Nitakuja kukupa update baadae kuhusu chet baada ya kutolea kuna process zinahtaji kufanyika ili serikali itambue ndoa yako.
Elli said: Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz Click to expand... Mkuu cwz kuelezea proccess zote hapa. niandika kwa kuchukua matukio. Cheki cha ndoa ukipewa unapeleka serikali kukiweka kwenye system. Nitakuja kukupa update baadae kuhusu chet baada ya kutolea kuna process zinahtaji kufanyika ili serikali itambue ndoa yako.