Baba mdogo anakula kitimoto hadharani

Hongera kwa kuwa na hekima na heshima kwa mzazi wako.Muhimu hapa duniani ni hili mengine haya tumeletewa tu Kama hustarabu Ila yasikuangaishe sana,kwangu Imani ni Imani na binadamu mwenzangu ni muhimu zaidi na Wala Imani haiwezi kufanya nimuone tofauti Cha msingi ni utu tu.Mshukuru mungu walau unapata mzazi wa kukutembelea hiki ni kitendawili kwa familia nyingi za kiafrika pale ambapo unaondokewa na baba au mama na bado ndugu wakakujali Cha msingi ongea na baba umwambie kiheshima juu ya Imani yako na mshauriane tu kikawaida.Kwa vijana wa sasa unaonekana una hekima sana Imani isikutenge na ndugu tumeikuta tutaiacha.siku njema
 
Ni kweli,mtu kafunga safari ndefu kaja kutusalimia tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…