CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
Baba hajielewii,sasa angetulia ankam'sendoff mwanae angepungukiwa nini?
mama nae mshirikina kwel
binti bora hakuitoa hyo mimba alee mwanae
Baba aliumia cos mama na mwanaye wameshirikiana kumdanganya! Na vile Mzee ni mnene wa chama alijifia mno kuhusu bintiye.... "Msomi, mwenye maadili mema sasa amepata mwenzi, bila kujua bintiye keshazaa mtoto na kuishi kinyemela na mwanaume!! Hiko ndo kilisababisha arudishe michango.... Chezeiya sifa wewe!!!!