Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

Wewe ni wa kupimwa akili, nenda ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kaulize kazi za vyama kisha nenda mahakamani kawaulize kuna jinai ipi mtu kuhama ccm? kenge wewe.

Katika hao wote uliowataja huwapati kwa lolote kimaisha wewe na ukoo wenu wote, hata mbwa tu wa Lowasa ana maisha mazuri kuliko wewe mbumbumbu na zuzu wa kwanza.

Hivi bado kuna watu wanajifariji?
 
Njoo unikamate acha kutapatapa, CCM MMEIBA KURA... At least kasi ya makomeo kidogo imenisuuza roho. Ila ukweli mmeiba kura

Acha dhana, huna ushahidi wowote katika hizo tuhuma zako za kuibiwa kura, isipokuwa unajifariji kwa kuwa chama /viongozi uliowasapoti wameshindwa,jitahidi kukubali ukweli ingawa unauma,kuukubali ukweli itakusaidia kwani utajua ulikosea wapi ili wakati mwingine hutarudia kufanya makosa.Hicho unachodai kuwa ni kura feki wala sio kura ni vile vikaratasi vya mfano wa kura, hazikuwa karatasi za tume bali ni karatasi za kuwapa elimu wapiga kura wanachama wa ccm ili wasifanye kosa wakati wa uchaguzi.
 
Hao ni wakutusaidia sisi tuliojichokea, hakuna hata mmoja kati yao tunaemfikia kimaisha, juzi tu Lowasa kawapa laki tano tano wale wachimbaji wadogo Apolo walionusurika kifo. hii thread ni ya mtu mwenye njaa ambaye maisha yamemshinda sasa ni chuki tu bila sababu, ati sisi ambao hatuitaki ccm jina letu ni wasaliti! haitokaa itoke tena milele kwa ccm kuipata kura yangu never over my dead body.

Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana. Hivi unapoongea kimaisha unamaanisha pesa! Kama ni maana halisi ya kimaisha labda wewe tu ndio amekuzidi. Kumbuka misingi mikuu ya maisha ni mitatu.
 
Nampenda lowasa, napenda vyama upinzani hata wangeweka jiwe ningelichagua ila CCM bado Sana, kihalali hamjashinda!!!kura mlizoiba zitawatokea puani Insha'Allah

Wewe unaimba wimbo uliochokwa
 
kazi ya kuifuta ccm inaendelea Jana Arusha kazi imeendelea ccm Arusha zitabaki ofisi tu ngoja jumatatu usikie matokeo ya ubunge Arusha maana na kiti maalum kitatoka Arusha kuongeza wabunge wawili cdm na kuhakikishia ccm ndio inapasuka vipande vipande maradufu
 
Wewe ni wa kupimwa akili, nenda ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kaulize kazi za vyama kisha nenda mahakamani kawaulize kuna jinai ipi mtu kuhama ccm? kenge wewe.

Katika hao wote uliowataja huwapati kwa lolote kimaisha wewe na ukoo wenu wote, hata mbwa tu wa Lowasa ana maisha mazuri kuliko wewe mbumbumbu na zuzu wa kwanza.
Lo! umemshushia. Lakini hapana wa aina hii wanaodhani siasa na uwezekano wa kupata vipato vzuri ni mpaka uwe Mwana ccm ni wengi tu.Una wacheka akina Lowasa na Sumaye wakati hata hela ya kununulia kipande cha sabuni kufulia pichu huna mfukoni?.
 
Tuache bila figisufigisu la jk Leo pombe asingekuwa raisi jk alitumia mamlaka yake ndo tumeona yalio tokea
 
Back
Top Bottom