Kipigi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 815
- 334
Wewe ni wa kupimwa akili, nenda ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kaulize kazi za vyama kisha nenda mahakamani kawaulize kuna jinai ipi mtu kuhama ccm? kenge wewe.
Katika hao wote uliowataja huwapati kwa lolote kimaisha wewe na ukoo wenu wote, hata mbwa tu wa Lowasa ana maisha mazuri kuliko wewe mbumbumbu na zuzu wa kwanza.
Hivi bado kuna watu wanajifariji?