Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Mtu unakwenda kwaajili ya Starehe zake anasingizia kutafuta wafadhili
hata ubunge ujaupata
===============
Miongoni mwa sababu kubwa zinazo mpeleka Dubai ni pamoja na kuzungumza na baadhi ya Taasisi kwa ajili ya uwekezaji mkubwa katika Soko la Ujiji liliopo Jimbo la Kigoma Mjini.
"Soko la ujiji ndilo linanipeleka Dubai wamepita Wabunge wengi lakini wameshindwa kufufua soko hilo,kwahiyo naenda Dubai ili kuzungumza na baadhi ya Taasisi ili kufufua soko hilo" amesema Baba Levo
hata ubunge ujaupata===============
Miongoni mwa sababu kubwa zinazo mpeleka Dubai ni pamoja na kuzungumza na baadhi ya Taasisi kwa ajili ya uwekezaji mkubwa katika Soko la Ujiji liliopo Jimbo la Kigoma Mjini.
"Soko la ujiji ndilo linanipeleka Dubai wamepita Wabunge wengi lakini wameshindwa kufufua soko hilo,kwahiyo naenda Dubai ili kuzungumza na baadhi ya Taasisi ili kufufua soko hilo" amesema Baba Levo