Baba Levo amerudi hewani baada ya matokeo

Jamaa amekuwa restrained sasa ameona ile move aloyoifanya ni ya kijinga na kaitoka nje na akipiga domo la kulalamika inaweza kumuharibia zaidi nafasi ndogo aliyonayo ya kuteuliwa
 
Ilitakiwa baada ya matokeo atulie anyway nadhani kwasabu hakutegemea kupata kura kiasi kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…