Baba,kwani asali ina miguu?!!

Baba,kwani asali ina miguu?!!

tabibumtaratibu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2011
Posts
2,414
Reaction score
1,216
Mtoto mmoja asubuhi amuuliza baba yake
Mtoto:baba kwani asali ina miguu?!
Baba:kwa nini mwanangu unaniuliza?
Mtoto:me nilisikia jana usiku ukisema "HONEY" tanua miguu......
Angekua mwanao ungemjibu nini?
 
Ningemwambia asiwe anasikiliza mazungumzo ya wakubwa. Maana ukimwambia ndio ina miguu atakwenda kutangaza kwa wenzake.
 
Ntacheka sana. Kisha namwambia,"nilikuwa naota".
Kwa kile kicheko ataamini tu.
 
Mtoto mmoja asubuhi amuuliza baba yake
Mtoto:baba kwani asali ina miguu?!
Baba:kwa nini mwanangu unaniuliza?
Mtoto:me nilisikia jana usiku ukisema "HONEY" tanua miguu......
Angekua mwanao ungemjibu nini?
ndio balaa ya kulala na watoto ndani kwenye chumba kimoja..!
 
Nitamwambia,mamako alikuwa kaketi kitandani so nilikuwa nampa kopo la asali nikamwambia atanue miguu,aliweke kopo katikati ya miguu yake ili aile kwa starehe.
 
Back
Top Bottom