Baba kama mtoto

Baba kama mtoto

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mtoto katoka shule huku akilia, alipofika nyumbani, baba yake alishangazwa na hali hiyo na mazungumzo yanayalikuwa hivi:
BABA: Kwa nini unalia?
MTOTO: Mwalimu amenipiga, na nimeambiwa twende wote shuleni.
BABA & MTOTO wakaenda shuleni na kuingia ofisini.
MWALIMU: Karibuni, mtoto wako tumemuuliza swali, kuwa “Nairobi iko wapi? Kashindwa”
Ndiyo maana tumemchapa!
BABA: akamgeukia mtoto wake na kumchapa vibao! Akamwambia: Mjinga mkubwa, kilasiku nakukataza kuchezea viyu vya watu hukomi, haya NAIROBI ya mwalimu umeipeleka wapi?
 
wajibu wetu ni kujua historia na geografia ya Tz co kosa lao wangeulizwa Dodoma iko wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom