- Thread starter
- #21
yes analo na isingewezekana kumuhusisha kwenye negotiation kwa kuwa ilitokea kwa coincidence sikuwa nimejiandaa kwa haya mazungumzo.Vipi siku demu wako akipewa gari na mbaba ikaa vipi hapo?Ungemhusisha kwenye kikao cha "Negotiation" angekuelewa. Hata hivyo mali imetoka kwa ridhaa ya wanandoa ana hofu gani? Ila sisi wanaume tunamafungufu yetu, hatupendi kuwa chini ya mwanamke kwa namna yeyote ile hasa kwenye issue ya mali, huyo mchumba ana gari?