Ukiwa Mcha Mungu na Mwombaji kweli,Mwenyezi Mungu atakupa Mume/Mke mtakayekuwa na Imani moja kwake na hata kuabudu pamoja na Mnayefanana/Mnayeendana na HAKIKA hautapata majuto.
NILICHOJIFUNZA/NILICHOSHUHUDIA:-
Ukimuoa/Ukiolewa na mtu yeyote ambaye hakuwa wakwako (sawasawa na mapenzi ya Mwenyenzi Mungu) basi hiyo ndoa haitakosa Majuto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.