Baba hataki nibadilishe dini ili niolewe

Baba hataki nibadilishe dini ili niolewe

..., Tatizo baba na ni muhudumu mkubwa wa Kanisa.

Hapo amtafute babu wa msichana
aliemruhusu mama yake kubadili dini ili kuolewa ndo atamdhibiti baba wa msichana

Well Said! Yaaani your the big thinker,,,And The Boss ushauri mzuri sana ndugu yangu
note the red part..
si rahisi kumdhibiti kama (babamtu) ni mtu wa imani sana tangu awali.Kwa mtazamo wake(babamtu) waweza kuwa (babamkwe wake) aliingiwa na roho mtakatifu ndiyo kupitia yeye akaruhusu..
achana na watu wa imani kali..wanachukulia kupitia mtu ''roho mtakatifu'' hufanya kazi.....
kumbuka: una deal na imani za watu..
 
Usibadili dini yako wanaume ni matapeli sana utakujajuta kwa kosa hilo, anakutamani tu hakupendi. Je uko tayari kuwa na wanawake wenzio 2?

Acha ushamba dogo.Wangap wanabadili na maisha yanaenda.Kwanza unajuaje anamtaman na si kumpenda???
 
Bora nionekane ninachuki hata vilevile nao wana chuki na mm,kama ni ww mdada nenda kaolewe huko utarudi tena hapa baada ya mwaka mmoja kuomba msaada kimbia haraka kama mwizi huyo hakufai kabisa
acha kutisha watu. aombe msaada wa chakula au watoto?
 
namsikitikia sana huyo binti anayetaka kubadili dini ili aolewe ATAJUTA muda sio mrefu
 
kubadili dini kisa kuolewa ni upuuzi, unapobadili dini ni sawa na unaipinga ile imani yako ya kwanza mfano mkristo sasa utakua mpinga kristo na siku ya mwisho utajibu mwenyewe kwa Mungu wako. Fikiri ,Chukua hatua.....All in all tuache mchezo na mambo ya dini coz Mungu hadhihakiwi ,wala habadilishwi kama nguo...Tuheshimu dini zetu,Mapenzi ni furaha ya mwili tu
 
Kijana amekuwa katika mahusiano kwa muda mrefu sasa ndoto zao ni ndoa.

Tatizo lipo kwenye Dini msichana yeye yupo tayari kubadili na kuwa Muislam na hata mama yake msichana anamuunga mkono mwanae kwani hata yeye alibadilishwa na mumewe, Tatizo baba na ni muhudumu mkubwa wa Kanisa.

Wapi huyu kijana anzie anahofia hata kulifikisha kwa baba mkwe wake kwa alivyo mkali na misimamo. Tumsaidieni kwa mawazo chanya nini akifanye kwani wanapendana sana.

Karibuni waungwana

Uislam unaruhusu mwanaume kuoa mwanamke asie muislam lakini awe mkristo au myahudi (Jewish). Kwahivyo aoe tu Bila msichana kubadili dini.
 
Mshauri arudi kwa mungu kumuuliza kama mme wa maisha yake ndiye huyo..... Ni rahisi, haraka na yenye uhakika asilimia mia moja.
 
Tatizo dini ni siku hizi zimekuwa ni "wendawazimu". Zamani mtu akibadili dini halikuwa suala kubwa kwani ilionekana ni jambo binafsi zaidi. Dini za leo zimekuwa ni za watu "limbukeni" ambao wamekubali dini ziwanyang'anye uwezo wao wa kufikiri kwa mantiki.

Pengine zaidi ya kubadili amejiandaaje na maisha maana dini ni mithili ya "utamaduni fulani" ambao yakupasa uufuate. Haina maana kubadili dini unaendelea kuishi kama zamani.
 
Nilichokigundua hapa ktk comments nyingi ni chuki za waziwazi ambazo kimsingi hazina maana,mwacheni binti afate moyo wake unavyotaka kwa kuwa wote wanapendana ila la msingi ni kuifahamu,kuielewa na kuikubali dini ya kiislam,anachopaswa kufanya ni kujifunza vema ailewe vzr hiyo dini na asiolewe kwa kuwa amepata tu mchumba wa kiislam ila aolewe kwa kuwa ameielewa dini na ameamini.
My take:tuacheni chuki za kidini kwani kila mtu anaamini na kuabudu anachokijua,vinginevyo nyamaza kimya huna haja ya ku comment
 
Na abadili dini
kwanza pasi na
kuunganisha hoja ya ndoa
Baada ya kuridhika na dini
Yake mpya ndio aamue kuoa
.kwa mujibu wa dini yake
Si vema kuwatia wazee huzuni.
Mara 2 kuhama dini kwa ajili ya
Ndoa.wambie umeamua kubadili
Dini tuu kwa hoja zilizo na
Mashiko.pengine na wao
Utawasaidia kujuwa haki.
 
Kwenye Imani (Ukristo/Uislamu) kuna Mambo ya Muhimu sana yasiyopaswa kupuuzwa au Kuchanganywa kisa Upendo Umechkua nafasi. Yawezekana Baba yake Binti anayafahamu coz ni Mkomavu Katika Imani.. Mama yake alibadishwa dini (imani) inaonesha ni dhahiri Bado ni Mchanga kiroho(kiimani) Bado Hajakomaa kiimani(kiroho) ndio maana anaona yote sawa hata Binti akibadili Imani mbona yeye alibadili. Ushauri: Imani si kitu cha kupuuzwa kabisa nikitu cha Muhimu sana.. Binti achunguze kwa kina Kwanni Baba hatak abadili dini nina hakika sio sababu Baba anacheo kanisaniAchunguze ajue Value (thamani) ya Imani yake na ya Huko anakotaka kwenda Halafu Afanye Maamuzi. Akiona haina haja ya kubadili Imani amweleze Mwenzi wake Wakubaliane coz Bdo wanapendana hope wataelewana. Halafu wasiachane wanawaeza kuamua kufunga ndoa yakisheria na kila Mmoja akabaki na Imani yake au Vingine itakavyo Mpendeza Mungu na Wao. Pia Wawashirikishe wazazi/wazee juu ya Uamuzi waliofikia hope Watapata Ushauri Mzuri zaidi.
 
Badili dini kwa ajili ya imani tu,usibadili kwa shinikizo la ndoa
Kwa kuwa ndoa ni irafiki wa mkataba endapo
Masharti yatakiukwa ndowa yaweza kuvunjika.Ajali ya kuvunjika
ndowa ni kitu cha kawaida,any time "it may happen"
Lakini dini haina mkataba wa aina hio ya ndowa.
 
Hata mimi mtoto wangu hawez kuolewa na muislam labda niwe marehemu
 
Hivi mtu anabadilisha dini ili aoe /aolewe

Au anabadilisha dini baada ya kuisoma, kuijua, kuielewa na kuiamini????

una hakika hiyo aliyonayo aliisoma,akaijua,akaielewa na kuiamini?..ama ndo yale yale ya kuwa dini fulani kwa mapokeo?
 
Hakuna mapenzi wala nn ni tapeli tu huyo kijana hujui kitu ww ndo maana unabisha wao lengo lao waongezeke ukifika huko jamaa anatafuta mwanamke mwingine na sio hivyo tu ni mengi yanakera,sasa ww dada nenda kaolewe ukapate chungu ya mapenzi,ningekuwa karibu yako ningezabua na vibao ,nyau kabisa ww,utakuwa sio ww sasa naanza kukemea hilo pepo lilililokuingia lishindwe katika jina lipitalo majina yote

waonekana kizabizabina tu unapohororoja vitu usivyo na hakika navyo wala uwezo wa kuvitetea kwa hoja!
Ka waona wivu,kaolewe wewe!
 
Back
Top Bottom