lutambijuma
Member
- Mar 21, 2016
- 72
- 56
Baba wa mtoto ajulikana kwa mama tu.
Wapo watoto wengi wamepewa baba ambao sio wazazi wao hali bali waliosex mara moja na mama.
Wapo ambao baba zao halisi waliwakataa ama kwa kuhisi wanasingiziwa, ama kwa kuogopa msala kwa bi mkubwa, lakini baba wengine walibambikiziwa na watakubali.
Huyo mchukueni tu huenda ni wenu,maana yawezekana wewe unajua kuwa tangu 2015 hawakuwa pamoja kumbe Kila siku wako pamoja wewe hujui tu.
Mchukueni tu
Wapo watoto wengi wamepewa baba ambao sio wazazi wao hali bali waliosex mara moja na mama.
Wapo ambao baba zao halisi waliwakataa ama kwa kuhisi wanasingiziwa, ama kwa kuogopa msala kwa bi mkubwa, lakini baba wengine walibambikiziwa na watakubali.
Huyo mchukueni tu huenda ni wenu,maana yawezekana wewe unajua kuwa tangu 2015 hawakuwa pamoja kumbe Kila siku wako pamoja wewe hujui tu.
Mchukueni tu