Baba Askofu Gwajima; tunaomba msaada wa kuwaombea wagonjwa waliothibitika kuwa na COVID-19

Entim

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
4,021
2,253
SHALOM Baba Askofu Josephat Gwajima,
Mimi ni muumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, nipo Mkoani (Mtwara).
Huu ni muafaka wa kuwatembelea wagonjwa waliopo tawi la Hospitali ya Muhimbili (Mloganzila), hususani wale wenye maambuzi ya virusi aina ya COVID-19.
Hawa wanahitaji maneno ya faraja na uponyaji kwani hakuna ndugu, jamaa au rafiki anayeruhusiwa kuwatembelea.
Kama tuliweza kufufua misukule, waathirika wa COVID 19 kwa imani tutashinda.
Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hili la corona, huwezi kusikia manabii, watenda miujiza, mitume, wachungaji, wapakwa mafuta, maganga wa kienyeji, wapiga ramli, maji ya baraka, maji ya uzima,mafuta ya upako, chumvi ya baraka, maji toka mto jordan nk, huwezi kusikia.

Sasa wamehamia kwenye kuhubiri hadith za kufikirika(conspiracy theories) mara corona inaletwa ma marekani, mara sijui inakuja na namba 666, mara sijui ujinga gani.

Papa mwenyewe leo ameshindwa kuwapaka na kuwamwagia waumini wake maji ya baraka, nilitegemea leo angewapaka maji ya baraka ili wapone corona kumbe hakuna kitu. Ameamua kuhubiri kwa live streaming ili akwepane na corona.
 
SHALOM Baba Askofu Josephat Gwajima,
Mimi ni muumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, nipo Mkoani (Mtwara).
Huu ni muafaka wa kuwatembelea wagonjwa waliopo tawi la Hospitali ya Muhimbili (Mloganzila), hususani wale wenye maambuzi ya virusi aina ya COVID-19.
Hawa wanahitaji maneno ya faraja na uponyaji kwani hakuna ndugu, jamaa au rafiki anayeruhusiwa kuwatembelea.
Kama tuliweza kufufua misukule, waathirika wa COVID 19 kwa imani tutashinda.
Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
Gwajima alivyo tapeli mwenye macho makavu atakupa majibu ya ajabu husiyoyategemea
 
Kwenye hili la corona, huwezi kusikia manabii, watenda miujiza, mitume, wachungaji, wapakwa mafuta, maganga wa kienyeji, wapiga ramli, maji ya baraka, maji ya uzima,mafuta ya upako, chumvi ya baraka, maji toka mto jordan nk, huwezi kusikia.

Sasa wamehamia kwenye kuhubiri hadith za kufikirika(conspiracy theories) mara corona inaletwa ma marekani, mara sijui inakuja na namba 666, mara sijui ujinga gani.

Papa mwenyewe leo ameshindwa kuwapaka na kuwamwagia waumini wake maji ya baraka, nilitegemea leo angewapaka maji ya baraka ili wapone corona kumbe hakuna kitu. Ameamua kuhubiri kwa live streaming ili akwepane na corona.
Badala ya gwajima kuponya watu nilimsikia akihubiri kuwa corona virusi inasababishwa na 5G!Kila siku tunasema kuwa hakuna matumaini kwenye dini ila watu hawasikii,dini ni hopeless kabisa!!
 
Duh, nimesoma mara mbilix2! Nasubiri majibu ya hii hoja!
Kwenye hili la corona, huwezi kusikia manabii, watenda miujiza, mitume, wachungaji, wapakwa mafuta, maganga wa kienyeji, wapiga ramli, maji ya baraka, maji ya uzima,mafuta ya upako, chumvi ya baraka, maji toka mto jordan nk, huwezi kusikia.

Sasa wamehamia kwenye kuhubiri hadith za kufikirika(conspiracy theories) mara corona inaletwa ma marekani, mara sijui inakuja na namba 666, mara sijui ujinga gani.

Papa mwenyewe leo ameshindwa kuwapaka na kuwamwagia waumini wake maji ya baraka, nilitegemea leo angewapaka maji ya baraka ili wapone corona kumbe hakuna kitu. Ameamua kuhubiri kwa live streaming ili akwepane na corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Ndugu zangu wananchi Wa Jiji la Dodoma*

Sasa tunaingia katika kipindi kigumu cha maambukizi ya corona katika ngazi ya jamii (community transmission), kama alivyosema Waziri wa Afya mheshimiwa Ummy Mwalimu kuwa tutaona wagonjwa ambao huwezi kujua alikopatia ugonjwa wenyewe.

*Ni vizuri tutafanya yafuatayo*

1. Ni wakati wa kuhakikisha nyumbani kwako hakuna anayetoka kwenda nje si watoto wala house girl/boy. Nunua vitu vyote weka ndani

2. Wewe unayeenda kutafuta rizk, chukua tahadhari kubwa dhidi ya corona.

Usishike uso ila mpaka uwe umenawa mikono yako au umetumia sanitizer. Ukirudi nyumbani mtu akufungulie geti, akufungulie Koki nawa na maji yanayotiririka, vua viatu nje na weka kwenye ndoo/tambaa lenye chlorine. Bila kugusa chochote ingia ndani vua nguo, oga na kubadilisha nguo nyingine safi.

Nguo ulizovua weka moja kwa moja kwenye maji au Tia kwenye mfuko kisha zifuliwe kwa maji yenye moto kiasi na sabuni.

Kama una dettol unaweza kuweka kabla ya kufua.

Najaribu kufikiria jinsi ya kujikinga na kuwakinga wana familia zetu.

Abdallah S. Mahia
Afisa Afya Wa Jiji
Dodoma
 
If you want to prove God wrong,you will!
Na mtajiona wajanja sana kwa vile mnajua mnamkashifu mwenye rehema nyingi.

Ila mwenye haki wake ataishi kwa imani.

Bahati mbaya,tukisema imani,wengi wenu mnaangalia Italy.

Mungu wa kweli hana uhusiano maalum na Italy.Alikuwa na uhusiano maalum na taifa moja tu duniani-Israel.

Kwa watu waungwana,bila shaka macho yao hayawezi kuacha kuona Neema kubwa tuliyopewa watanzania.Sisi ni nani hadi tupone namna hii?

Utukufu kwa Mungu wa Neema na rehema zote kwa waja wako,kwani unajua umaskini wetu.Uzidi kuturehemu Bwana wa mabwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If you want to prove God wrong,you will!
Na mtajiona wajanja sana kwa vile mnajua mnamkashifu mwenye rehema nyingi.

Ila mwenye haki wake ataishi kwa imani.

Bahati mbaya,tukisema imani,wengi wenu mnaangalia Italy.

Mungu wa kweli hana uhusiano maalum na Italy.Alikuwa na uhusiano maalum na taifa moja tu duniani-Israel.

Kwa watu waungwana,bila shaka macho yao hayawezi kuacha kuona Neema kubwa tuliyopewa watanzania.Sisi ni nani hadi tupone namna hii?

Utukufu kwa Mungu wa Neema na rehema zote kwa waja wako,kwani unajua umaskini wetu.Uzidi kuturehemu Bwana wa mabwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ......

Hakuna mwenye haki ambaye anaweza kupata korona

Mtu yoyote alikufa na korona na ambaye ataendlea kufa na korona uhusiano wake na MUNGU ni wamashaka sana

Kwa wasomi MUNGU ni wa hovyo sana ndio maana wasomi wengi mnatafunwa na magonjwa ambayo MUNGU huwaponya wenye haki

MUNGU alituponya visukari bila dawa ,insulin hazikuweza kutuponya ila YESU

Korona ni kitu kidogo sana tena sana kwa mtu anayemjua MUNGU vuzuri
Korona ni kama mende kwangu maana anaishi ndani yangu ni mkuu kuliko anaeishi nje (najua kwa wasomi ni kitu cha hovyo sana ila maisha yangu na maumivu yangu hayakuweza kusaidiwa na sayansi ila BWANA )
 
Kwa nini uweke dettol kabla ya kufua?
*Ndugu zangu wananchi Wa Jiji la Dodoma*

Sasa tunaingia katika kipindi kigumu cha maambukizi ya corona katika ngazi ya jamii (community transmission), kama alivyosema Waziri wa Afya mheshimiwa Ummy Mwalimu kuwa tutaona wagonjwa ambao huwezi kujua alikopatia ugonjwa wenyewe.

*Ni vizuri tutafanya yafuatayo*

1. Ni wakati wa kuhakikisha nyumbani kwako hakuna anayetoka kwenda nje si watoto wala house girl/boy. Nunua vitu vyote weka ndani

2. Wewe unayeenda kutafuta rizk, chukua tahadhari kubwa dhidi ya corona.

Usishike uso ila mpaka uwe umenawa mikono yako au umetumia sanitizer. Ukirudi nyumbani mtu akufungulie geti, akufungulie Koki nawa na maji yanayotiririka, vua viatu nje na weka kwenye ndoo/tambaa lenye chlorine. Bila kugusa chochote ingia ndani vua nguo, oga na kubadilisha nguo nyingine safi.

Nguo ulizovua weka moja kwa moja kwenye maji au Tia kwenye mfuko kisha zifuliwe kwa maji yenye moto kiasi na sabuni.

Kama una dettol unaweza kuweka kabla ya kufua.

Najaribu kufikiria jinsi ya kujikinga na kuwakinga wana familia zetu.

Abdallah S. Mahia
Afisa Afya Wa Jiji
Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye haki ni mtu wa aina gani?
Ni kweli kabisa ......

Hakuna mwenye haki ambaye anaweza kupata korona

Mtu yoyote alikufa na korona na ambaye ataendlea kufa na korona uhusiano wake na MUNGU ni wamashaka sana

Kwa wasomi MUNGU ni wa hovyo sana ndio maana wasomi wengi mnatafunwa na magonjwa ambayo MUNGU huwaponya wenye haki

MUNGU alituponya visukari bila dawa ,insulin hazikuweza kutuponya ila YESU

Korona ni kitu kidogo sana tena sana kwa mtu anayemjua MUNGU vuzuri
Korona ni kama mende kwangu maana anaishi ndani yangu ni mkuu kuliko anaeishi nje (najua kwa wasomi ni kitu cha hovyo sana ila maisha yangu na maumivu yangu hayakuweza kusaidiwa na sayansi ila BWANA )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom