Sifa za bashiteHii yote chanzo chake ni madawa,
Mimi nimependa tu avatar yako.Hii yote chanzo chake ni madawa,
No mimi simtetei bashite bali naangalia kilicholetea hadi Bashite kuanza kuumbuliwaSifa za bashite
Hakuna haja ya mahakama ya duniani. Iko mahakama ile iliyoizuia katiba fake waliyoichezea mound iko bungeniAma kwa hakika mungu hamfichi mnafiki..clouds wameingia choo cha kike.baba askofu twende mahakamani tukawashtaki kwa kukuchafua .
Wafilisiwe..wamezoea midebwedo..wanajifanyaga wanajua sanaa
Kuliko hiyo clip tu ni makosa na sasa Shilawadu in anatokea puaniClouds hawajarusha hewani kitu chochote cha kumchafua NGWAJIMA..mtoa mada kuwa mpole..tuliaaa..
Ndio maana kutoka jana watu wamemfahamu na kumjua Sudy Brown ni naniBasi tutamshitaki sudi brown..maana ndiye anaeonekana
Itakuwa Madawa yameshamlevyaClouds hawajarusha hewani kitu chochote cha kumchafua NGWAJIMA..mtoa mada kuwa mpole..tuliaaa..
Wafungiwe wakati ni kipindi kipenzi cha Magu... Acha sportsShilawadu wafungiwe kabisa!