Baba Askofu Gwajima, Mwenyezi Mungu anakuona

Baba Askofu Gwajima, Mwenyezi Mungu anakuona

Chikumba one

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
1,012
Reaction score
1,647
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.
 
Unaye muona Gwajima mtakatifu ni wewe tuu,
Sisi tunajuwa kuwa Maaskofu wengi ni mamafia na wengine ni zaidi ya Lucifer kwa maovu.
Wewe unazugwa na yale Majoho.

Huyu Gwajima anaroho ya Kiajabu mno tena ni mtu wa Systerm.
Unakumbuka alisha wahi kumkemea Magufuli na kumsema vibaya?
Leo ni Mfuasi wa Magufuli na anamsifia utakatifu.

Hivi Magufuli anaweza kuwa Mtakatifu kiivyo.
Wote ni Mamafia.
Zinduka
 
Hayo yalikuwa ni maoni ya wajumbe na siyo kwamba ndo walichagua mgombea
 
Unaye muona Ngwajima mtakatifu ni wewe tuu,
Sisi tunajuwa kuwa Maaskofu wengi ni mamafia na wengine ni zaidi ya Lucifer kwa maovu.
Wewe unazugwa na yale Majoho.
Huyu Ngwajima anaroho ya Kiajabu mno tena ni mtu wa Systerm.
Unakumbuka alisha wahi kumkemea Magufuli na kumsema vibaya?
Leo ni Mfuasi wa Magufuli na anamsifia utakatifu.
Hivi Magu anaweza kuwa Mtakatifu kiivyo.
Wote ni Mamafia.
Zinduka
""Mtu wa System"""
 
Mjihadhari na "maaskofu" na "manabii" wa uongo waliotapakaa kila mahali. Mtu anayeamini kuwa huyu anayejiita askofu ni mtumishi wa kweli wa Mungu aliye hai basi hajui atendalo.
 
Mkuu Gwajima sio mtumishi wa Mungu.Mambo mengi huko nyuma yalishadhibitisha hili na hili ulilobainisha limethibitisha pia hili.Halafu neno la Mungu liko wazo huwezi kutumikia mabwana wawili,kwa kuwa utamuacha huyu na kuandamana na huyu.
 
Askofu, manabii hivi ni vyeo vya Kimungu Kama vyeo vingine vya kiislamu. Naona uwe unajenga hoja zenye mashiko. Tanzania ni nchi ya kidemokrasia kila mtu yupo huru Ila kutovunja sheria.
 
Mkuu unaelewa maana ya kura za maoni? Maoni yako yanaweza kusikilizwa ama kuto sikilizwa hivyo pia kumbuka wajumbe hawawezi kutuchagulia Mbunge ndio maana tarehe 28 wananchi wote wenye sifa za kupiga kura wanaruhusiwa hivyo Gwajima hajachukua nafasi ya mtu yeyote
 
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.
Yan nimesoma hii post nikacheka sana kwahyo ulitaka akatae baada ya kupitisha kama kwel wewe unamcha Mungu utaelewa kuwa n mpango wa Mungu kabsa Gwajima kuchaguliwa n kwel alikuwa nafasi ya tatu lakin Mungu sio athuman wala Juma akapata nafasi sasa nyie wenye roho zenu za chuki na Askofu mmeona anagombea sasa kelele nyingi nasema hvi Gwajima kushinda n lazima na mnajua hilo ndo maana manaangaika sana kama ambayo ulizan ameshindwa kwa wajumbe tripu hii Gwajima atashinda kwa kishindo sana nyie subirin na muone
 
Mkuu Gwajima sio mtumishi wa Mungu.Mambo mengi huko nyuma yalishadhibitisha hili na hili ulilobainisha limethibitisha pia hili.Halafu neno la Mungu liko wazo huwezi kutumikia mabwana wawili,kwa kuwa utamuacha huyu na kuandamana na huyu.
Yusuph alkuwa waziri mkuu na alimtumikia Mungu na watumishi wengi kwenye Biblia walikuwa viongozi wakubwa na walimtumikia Mungu why Gwajima ashindwe achen kukariri maisha we bado uko kwenye zama za ujinga na upumbavu
 
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.

huu upumbavu ungefaa sana kama ungeandikwa kipindi Lowasa anachukua haki ya Dr. Slaa kisa pesa
 
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.
Haaaa kwanza alichokifanya Askofu gwajima sio kama anakosea hapana ila kile anachokifanya ni jambo ambalo limewafrahisha wanakawe

ambavo tunaona wao wenyewe walikua wameshamchoka mdee na hata walivyosikia gwajima ameshinda walishanglia saaana

gwajima alishinda kwa sababu ameonekana ni mtu anayefaa kwa jamii na pia kujenga taifa
ukiona mtu aliyechinjiwa baharini na wajumbe ujue huyo hafai hata kuigwa na jamii
 
Kumbuka chama cha mapinduzi ni chama cha siasa, na kama chama cha siasa kingine kisingeweka mgombea mwenye ushawishi mdogo kama wamemaanisha kulirudiisha jimbo mikononi mwao, ni jambo la wazi na linalofahamika kuwa Askofu Gwajima ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na kuthibitisha hilo tangu mchakato wa kura za maoni ulivyotangazwa macho na masikio ya watu wote yalikua Kawe na jina lililotajwa zaidi lilikua jina la Gwajima. Kilichofanywa na kamati kuu ya chama cha mapinduzi ni utaratibu wa kukifanya chama chao kusimamisha wagombea ambao watawahakikishia ushindi.
 
Ikumbukwe kuwa
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.
Hatuchagui kiongozi ilimradi tuna taka kiongozi mwenyewe uwezo wa kujenga hoja na kutetea haki za watu bila kupindisha na gwajima amekuwa mfano mkubwa wakuisimamia kweli ndio mama hata mamlaka imeona anafaa kuwaongoza wananchi wa kawe na hayo ni mambo ya chama na nimakubaliano ya itikadi zao na haijatokea kwa gwajima peke yake acja kukuza mambo
 
Maandiko Matakatifu, kwa Dini zote zinazojulikana Duniani, yanasema usichukue HAKI YA MWINGINE NA KUIFANYA KUWA HAKI YAKO.

Shughuli za uchaguzi zinazoendelea zimetuweka njia panda wale wenye Imani kamilifu sawa sawa na wenye Imani haba. Pamoja na kwamba mie sio mjuzi wa Biblia, lakini ninaelewa kwamba Askofu ni mtu mkubwa sana katika muundo wa kanisa, kwa dhehebu lolote hapa Duniani. Askofu anapaswa aishi kwa mifano ya kumpendeza Mungu, kiimani hata kijamii. Askofu hapaswi kupokea wala kutoa kilicho haramu machoni pa Bwana. Haijalishi ni kitu gani.

Uchaguzi wa Kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi umefanyika na kupita, walioshinda kihalali wapo waliotangazwa na majina yao kurudi ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn pia wapo walioshinda na majina yao hayakurudi. Wapo walioshindwa na majina yao kurudi wakiendelea na mchakato wa uchaguzi, lkn wapo walioshindwa na safari yao kuishia kwa wajumbe.

Mojawapo ya majina ya walioshindwa lkn majina yao yamerudi ni Askofu Gwajima. Kushindwa kihalali kwa Baba Askofu Gwajima, ilikuwa ni maamuzi halali ya Wajumbe wa CCM Jimbo la Kawe walioona kwamba Askofu Gwajima hawezi kuwa Mwakilishi sahihi wa wana Kawe. Pengine waliona haifai kuchanganya Dini na Siasa kama tunavyofundishwa siku hizi. Wakampa kura Mgombea waliedhani anafaa, akashinda.

Hata hivyo waliomtaka Askofu Gwajima wakaona walichokifanya wajumbe wa Kawe ni Ujinga, wakampa ushindi usio wake ili aendelee na mchakato wa uchaguzi. Askofu bila haya wala aibu akachekelea kupokea kisicho halali kwake na machoni pa Bwana. Hapa ndipo ilipo njia panda ya Imani.

Askofu Gwajima anajisikiaje kupokea kilicho haramu na kisicho chake? Ni maandiko gani yaliyomwelekeza Baba Askofu kukubali kupokea haramu? Hii ina maana gani kwake, kanisa lake na Mungu wetu? Kama Baba Askofu anaweza kutenda haya, vipi kwa wale wasio na Dini?

Kwenye Siasa hasa siasa za Afrika, mara nyingi kuna udanganyifu mwingi hasa pale inapotokea aliyekuwa na mamlaka anapoelekea kupoteza ushindi. Mara nyingi huwa mambo yanavurugwa na mshindwa kuwa mshindi, huku mshindi akiwa mshindwa. Baba Askofu atakuwa tayari kupokea matokeo ya kushindwa na kusimama kwenye ukweli ama atakuwa tayari kupora ushindi usio wake kwa mara nyingine?

Nafsi ya Baba Askofu inasema nini katika hilo?

Maswali ni mengi.

Kama ikitokea Baba Askofu atashindwa kihalali, atakuwa tayari kuyapokea matokeo kwa jinsi yalivyo? Bila shaka ni suala la kusubiri na kuona.

Baba Askofu, Mwenyezi Mungu anakuona.
kwa hili ni wazi kabisa kua alikua anastahili ni Gwajima kwa sababu walio mchagua Gwaajima ndio waanajua uwezo wa Gwajima na wao ndio waanajua uzito wa kuitekeleza ilani ya ccm kawe walifahamu kabisa furaha hawezi kuiendesha hiyo ilani
Wajumbe wao wanaona hapo kawe tuu kwa wanayoyaona lakini kuna mengine wanayachukulia kirahisi wakati yanahitaji mtu mwenye uwezo wa kuyaendesha
Hivyo wenye kumjua Gwajima wanajua uwezo wake ndio maana akapewa dhamana na chama
 
Kuwa mchungaji Ni kuwatumikia watu na kuwasaidia na kuwa kiongozi wa serikali maana yake wananchi wamekuamini kuwa utawasaidia matatizo yao, Sasa kwani hapo Shida iko wap jamaniii mbona Akili zenu zinakuwa ndogo kiasi hicho
 
Nagundua tatizo la watu wengi Hawana Maarifa ya kutosha na Udini umewakaa kwenye vichwa vyao ,Wamejaa mazoea TU Gwajima Yuko Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom