Baba amgeuza bintiye mwenye ulemavu kuwa mke, aanza kumtesa baada ya kumtumia na kumchoka

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Habari ya simanzi na kusikitisha wilayani Chunya Mbeya, Baba amemgeuza bintie wa kumzaa mwenye ulemavu kuwa mke. Baada ya kumtumia kwa namna awezavyo, ameanza kumfanyia vitimbi ikiwa ni pamoja na kuanza kumnyanyasa kuashiria kuwa amemchoka.
 
Habari ya simanzi na kusikitisha wilayani Chunya Mbeya, Baba amemgeuza bintie wa kumzaa mwenye ulemavu kuwa mke. Baada ya kumtumia kwa namna awezavyo, ameanza kumfanyia vitimbi ikiwa ni pamoja na kuanza kumnyanyasa kuashiria kuwa amemchoka.

Video yako haina sauti
 
Habari ya simanzi na kusikitisha wilayani Chunya Mbeya, Baba amemgeuza bintie wa kumzaa mwenye ulemavu kuwa mke. Baada ya kumtumia kwa namna awezavyo, ameanza kumfanyia vitimbi ikiwa ni pamoja na kuanza kumnyanyasa kuashiria kuwa amemchoka.

Animals of this kind do not deserve co-existance with 'humans' on this planet. Hafai hata jela na ndio hapa unakuja umuhimu wa sheria mkononi, what a tragedy!
 
Binadamu tumekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe.. Linasikitisha sana tukio hili..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom