Baba ambaka mwanae na kumpa ujauzito

Baba ambaka mwanae na kumpa ujauzito

best huyo baba ana pepola ngono si bure huwezi kumtamani bintiyo wa kumzaa wewe mwenyewe ambaye alipokuwa mdogo ulimwogesha ulimtawaza, na ulimpeleka hospitali pindi akiwa yu mgonjwa iweje sasa utamani uzao wako si ni pepo tu limeaamua kuharibu taifa letu cha kufanya ni kuomba tu haya mapepo yatoke kwetu kwani yako hadi kule kwa viiongozi wa serikali dini na kila eneo siku hizi yamevamia best hakuna cha kufanya zaidi ya maombi tu
Nakubaliana na wewe bila kipingamizi.

Kwa kweli tupo kwenye zama ngumu mno au sijui tunafikia nyakati za mwisho wa huu Ulimwengu.

Kila siku inayoenda unasikia mikasa ambayo kuamini inakuwa ni vigumu sana lakini ni kweli yanatokea, wengine mtu na Mama yake mzazi wanawekana kinyumba kama Mke na Mume.

Mungu atunusuru na atuepushe na mabalaa
 
Binti akikaa uchi basi ni halali ya baba?
Fikiri zaidi ya hapa wewe..

Nani aliyesema halali?

Binti ajipambe ajikwatue amkalie uchi baba'ke? na baba'ke anasifia tu? aaha umependeza binti yangu, una mapaja mazuri?

Kwanza binti au baba gani mwenye maadili akafanya hivyo? fikiri.

Hiyo ni haramu ya baba na binti.
 
Ha ha ha mkuu ushatolewa posa na Remote Vatcan wamepitisha m/ume kuolewa. Huoni Papa mwenyewe analiwa na kasisi wake. Ha ha ha ha

Labda kama.msikitin ndo wamepitisha.. Ila kanisa katoliki halijapitisha huo upuuzi

waislam huwa wanaweka oda ya mke wa kuoa hata akiwa na miaka 9... Akifika miaka 14 anatoa mahari.... Tena anayeoa si dogo.. Ni zee la miaka 45.. 50 hadi 60

tabia hzi zipo sana ktk mikoa ya pwani

sasa mzee wa miaka 50 kumwoa binti wa miaka 14 si sawa tu na kutembea na mwanao uliyemzaa... Tehhhhhhhhhh

hapo ndo unakuta mzee haoni shida kula mayai yake... Kama mzee wa miaka 50 anarugusiwa kuoa binti ya miaka 14.

Binafsi nimepata stori za wazee wengi sana kutembea na binti zao waliowazaa.. Na kwa kawaida ni hawa wenzetu waislam.......

Sema tu huyu amekamatwa basi.. Ila wapo wengi mno na inaonekana ni jambo la kawaida
 
Last edited by a moderator:
Sasa mtoto akizaliwa atamuita baba au babu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
inashangaza na kusikitisha kweli siku za mwisho maasi yatakuwa mengi

mtoto wa kumzaa mwenyewe mtoto uliyemwogesha, ukampeleka chooni akiwa mdogo
leo hii amekuwa mjamzito sasa huyo kichanga atakayezaliwa atakwitaje wewe baba wa huyo binti?

inabidi taifa limrudie muumba wake na litubu dhambi hizi jamani
Lisilotarajiwa limeshatokea ladyfurahia.Kuna umuhimu wa kuunda msamiati mpya kwa ajili ya hii hali ya kishetani.In this case
mtoto atakayezaliwa atamwita huyo baba fedhuli babubaba au kifupi chake bubaba. Naye bubaba atamwita huyo mtoto jukumtoto ikiwa ni kifupi cha mjukuumtoto na huyo mtoto atamwita mama yake mada ikiwa ni kifupi cha mamadada. Very crazy indeed, but we should come to grips with the reality. Ok, sasa hivi naenda zangu BAKITA kupeleka huu msamiati mpya!
 
Hasa ni laana na pia hutokea kwa ushirikina maana kila mara tunasikia kupitia vyombo vya habari. Kama baba kalala na mwanae basi sheria ichukue mkondo wake na lakini kuna mama aliyeolewa na mwanae wa kumzaa huko kaskazini magharibi mwa nchi nako sheria ilikuaje? Bila kuwa na sheria kwa wazazi juu ya ulinzi wa watoto wao nako inaonekana ni tatizo sasa na pia bila kudhibiti pombe kwa nchi kutafuta kianzio kingine cha kupata fedha na kusimamisha matangazo ya uhamasihaji wa unywaji wa pombe, maadili hasa kwa vyombo vya habari, maadili ya vijana wetu hasa katika mavazi na maadili ya wazazi tutaendelea kusikia sana na huenda ikazoeleka. Allah atuepushilie mbali na laana hiyo ili tusije angamia.
 
Mabinti wenyewe si ndo kama hawa ambao wanawatia baba zao kwenye nyakati ngumu.

Auntiii.jpg


Nani aliyesema halali?

Binti ajipambe ajikwatue amkalie uchi baba'ke? na baba'ke anasifia tu? aaha umependeza binti yangu, una mapaja mazuri?

Kwanza binti au baba gani mwenye maadili akafanya hivyo? fikiri.

Hiyo ni haramu ya baba na binti.
 
MTUME ALIKUWA NA WAKE WANGAPI VILE? KATI YA WAKE ZAKE MMOJA KALIKUWA KATOTO KENYE UMRI WA MIAKA MINGAPI VILE? Na Alianza Kukashindilia Dude Lenye Jicho Moja Kakiwa Na Umri Wa Miaka Mingapi Vile? HEBU MWENYE DATA AZIMWAGE HAPA.Ila Mimi Nakumbuka Alikaoa Kwa Gia Ya Kukafadhili Kwa Kuwa Mama Yake Hakuwa Na Uwezo,kalikuwa Na Miaka Tisa, Alianza Kukaingilia Kimwili Kalipofikisha Umri Kati Ya Miaka 13 Na 14, Mwenye Data Kamili Anisahihishe.
 
Hapo utakuta mama kaikimbia familia kaacha binti zake na baba yao.
 
MAADAM Shamba Ni La Bwana Heri, Na Mbuzi Pia Ni Wa Bwana Heri, BASI YOTE HERI. WAOANE TU,WAACHE KUZINI.

Hahahaaa! Kabla hajafuata ushauri wako inabidi afanye marejeo kwenye Quran sura ya 4 (Surat An Nisaa) aya ya 23 apate kujua aliye halali kwake kuoa.
 
Labda kama.msikitin ndo wamepitisha.. Ila kanisa katoliki halijapitisha huo upuuzi

waislam huwa wanaweka oda ya mke wa kuoa hata akiwa na miaka 9... Akifika miaka 14 anatoa mahari.... Tena anayeoa si dogo.. Ni zee la miaka 45.. 50 hadi 60

tabia hzi zipo sana ktk mikoa ya pwani

sasa mzee wa miaka 50 kumwoa binti wa miaka 14 si sawa tu na kutembea na mwanao uliyemzaa... Tehhhhhhhhhh

hapo ndo unakuta mzee haoni shida kula mayai yake... Kama mzee wa miaka 50 anarugusiwa kuoa binti ya miaka 14.

Binafsi nimepata stori za wazee wengi sana kutembea na binti zao waliowazaa.. Na kwa kawaida ni hawa wenzetu waislam.......

Sema tu huyu amekamatwa basi.. Ila wapo wengi mno na inaonekana ni jambo la kawaida

Sasa mkuu si bora hao ambao wanaruhusiwa kuoa kuliko maPadri ambao hawaruhusiwi kuoa kumbe ni wanataka kuolewa! Mfano mzuri VATCAN makao makuu ya ndoa za jinsia moja mlivyo piga kura kama ya katiba vile kumbe mpitishe kuoana w/ume kwa w/ume. Wallah kwahiyo michezo yenu ya maPadri kuwalawiti watoto wadogo lazima wataipitisha tu hii sheria. Na ikipita mkuu UTAOLEWA na kasisi.
 
Labda kama.msikitin ndo wamepitisha.. Ila kanisa katoliki halijapitisha huo upuuzi

waislam huwa wanaweka oda ya mke wa kuoa hata akiwa na miaka 9... Akifika miaka 14 anatoa mahari.... Tena anayeoa si dogo.. Ni zee la miaka 45.. 50 hadi 60

tabia hzi zipo sana ktk mikoa ya pwani

sasa mzee wa miaka 50 kumwoa binti wa miaka 14 si sawa tu na kutembea na mwanao uliyemzaa... Tehhhhhhhhhh

hapo ndo unakuta mzee haoni shida kula mayai yake... Kama mzee wa miaka 50 anarugusiwa kuoa binti ya miaka 14.

Binafsi nimepata stori za wazee wengi sana kutembea na binti zao waliowazaa.. Na kwa kawaida ni hawa wenzetu waislam.......

Sema tu huyu amekamatwa basi.. Ila wapo wengi mno na inaonekana ni jambo la kawaida

umeshafika umasaini ukaona watoto wa miaka mingapi wanaolewa na wazee?
 
Nakubaliana na wewe bila kipingamizi.

Kwa kweli tupo kwenye zama ngumu mno au sijui tunafikia nyakati za mwisho wa huu Ulimwengu.

Kila siku inayoenda unasikia mikasa ambayo kuamini inakuwa ni vigumu sana lakini ni kweli yanatokea, wengine mtu na Mama yake mzazi wanawekana kinyumba kama Mke na Mume.

Mungu atunusuru na atuepushe na mabalaa
article-0-0C1E6BBC00000578-227_468x344.jpg

Steve Wilkos show live ilionyesha huko Marekani baba aliyeishi na binti yake
akaishia kuwa na mahusiano ya ngona na binti yake hadi kupata mimba,
ikawa vigumu kuwaachanisha kwa vile binti naye alisha-fall in love to her father.

Ukweli sio mambo mapya, yamekuwa yakitokea mara kadhaa kwenye familia mbalimbali nchini hata mataifa makubwa duniani. Bora huku kwetu mila na desturi ni kinga hata majirani wanaweza kuhisi nini kinaendelea kinyume cha huko ughaibuni yanayoendelea ndani ya nyumba ya jirani huwezi kujua kabisa ni siri yao.

Leo ni kizazi cha digital ndio maana tunayaona na kutangaziana haya tofauti na nyakati zile yalikuwa yanajulikana katika kijiji tu.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa katika makabila mbalimbali ya kiafrika inapotokea hivyo kulikuwa na taratibu za kimila kukata ukoo ili kuhalalisha uhusiano. Wanaojua hili wanaweza kutujuza zaidi.

Kwa vyo vyote napinga kwa nguvu zote na ni udhalilishaji usio na haya machoni pa jamii na kimataifa.
 
Back
Top Bottom