Hebu tuchukulie kwamba, umefuatwa, au unafuatwa fuatwa na mtu uliyewahi kuambiwa kwamba ni baba yako ambaye alikukataa tangu ulipokuwa mdogo. Baba huyu alikukataa katakata kwamba wewe sio mtoto wake wa kumzaa na tangu wakati huo hukuwahi kumtia machoni.
Hii ina maana bila shaka kwamba, hawakuwahi kuishi na mama yako au labda hawakuwa wameoana. Umelelewa na mama au ndugu upande wa mama yako au na wasamaria wema tu. Baada ya kusoma na kupata mafanikio kiuchumi, baba huyu anakuja akiwa anataka umpokee na kumtambua kama baba yako aliyekuzaa. Huenda baba huyu amepigika kimaisha na ndiyo sababu ya kuja kwako au ameshitakiwa na dhamira tu. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini?
Hebu tuchukulie kwamba, umefuatwa, au unafuatwa fuatwa na mtu uliyewahi kuambiwa kwamba ni baba yako ambaye alikukataa tangu ulipokuwa mdogo. Baba huyu alikukataa katakata kwamba wewe sio mtoto wake wa kumzaa na tangu wakati huo hukuwahi kumtia machoni.
Hii ina maana bila shaka kwamba, hawakuwahi kuishi na mama yako au labda hawakuwa wameoana. Umelelewa na mama au ndugu upande wa mama yako au na wasamaria wema tu. Baada ya kusoma na kupata mafanikio kiuchumi, baba huyu anakuja akiwa anataka umpokee na kumtambua kama baba yako aliyekuzaa. Huenda baba huyu amepigika kimaisha na ndiyo sababu ya kuja kwako au ameshitakiwa na dhamira tu. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini?
Hebu tuchukulie kwamba, umefuatwa, au unafuatwa fuatwa na mtu uliyewahi kuambiwa kwamba ni baba yako ambaye alikukataa tangu ulipokuwa mdogo. Baba huyu alikukataa katakata kwamba wewe sio mtoto wake wa kumzaa na tangu wakati huo hukuwahi kumtia machoni.
Hii ina maana bila shaka kwamba, hawakuwahi kuishi na mama yako au labda hawakuwa wameoana. Umelelewa na mama au ndugu upande wa mama yako au na wasamaria wema tu. Baada ya kusoma na kupata mafanikio kiuchumi, baba huyu anakuja akiwa anataka umpokee na kumtambua kama baba yako aliyekuzaa. Huenda baba huyu amepigika kimaisha na ndiyo sababu ya kuja kwako au ameshitakiwa na dhamira tu. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini?
Ni kweli aisee, yaani unahisi ume-miss something, halafu baadae wakati umeshazoea maisha hayo ya kutokuwa na baba ndio anajitokeza...............!
Nitamkataaaaa kata kata!
Cha msingi ni kuelewa kuwa amekufuata baada ya kupata mafanikio au amekufuata baada ya kugundua kuwa wewe ni mtoto wake?.Nadhani hilo ndio jambo la kuelewa mapema.Au amekukubali baada ya kugundua kuwa vipimo ya kisayansi kama DNA vimethibitisha kuwa wewe ni mtoto wake harali.Hilo ndio jambo la msingi.Huenda kuna watu wengi walibambikiwa watoto kuwa ni wao au waliporwa watoto kuwa siyo wao,wengine walijua wanadhurumiwa na wengine hawakujua kuwa wanadhurumiwa kutokana na ufinyu wa uelewa katika fani ya sayansi.Jambo la maana ni kuelewa kuwa uzinzi kabla ya ndoa au ndani ya ndoa ni tatizo ambalo linaweza kusababisha kupoteza haki ya mtu mtoto/ukoo na hata maisha. Jambo muhimu ni kufuatilia vipimo vya kisasa kabla haujatoa tamko la kukataa au kukubali suala la mtoto.