ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,036
- 49,718
Kiufupi hili libenki na nmb na livodacom ni mawakala ya maccm mm niliachaga kutumia huduma zao kwenye simu ndio nahamia htel
Ni ukweli wamekata, tumefika benki wanadai ni Makato halali how? Jioni wameleta msg ya ku apologize na kudai pesa imerudihamna Kitu Hapo
Hitilafu ya kwenye mfumo wenu au kuna wizi ulikuwa unapangwa?... 🤔 🧐Majibu haya hapaView attachment 1587303
Hapo wawalaumu it wao kwakutorekebisha mfumo wa utoaji taarifa. Ilitakiwa mteja azione sms kabisa, bahati mbaya meseji zikaanza kwenda na walipotaka kurekebisha ikawa too late hata wasiopata ujumbe wakawa wamegundua. Kuua soo imebidi warudishe pesa.Majibu haya hapaView attachment 1587303
CRDB inajichafua yenyewemsiichafue benki kongwe kama hii.peleka malalamiko yako mahali husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachafuliwi...wanajichafuamsiichafue benki kongwe kama hii.peleka malalamiko yako mahali husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wawalaumu it wao kwakutorekebisha mfumo wa utoaji taarifa. Ilitakiwa mteja azione sms kabisa, bahati mbaya meseji zikaanza kwenda na walipotaka kurekebisha ikawa too late hata wasiopata ujumbe wakawa wamegundua. Kuua soo imebidi warudishe pesa.
Kama ingekuwa tatizo la system kiasi kilichokatw kingekuwa kwa asilimia zinazofanana, mfano 10% ya kiasi kilichopo. Na hili lingetokea kwa wateja wote, sio baadhi kama wanavyodai.