dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
Benki ya CRDB jibuni hizi tuhuma haraka kabla hamjachafua hadhi yenu
Chagueni CCMDuh hii sasa mbona balaaa, harafu mbona wanakata ka pesa kadogo ili usijue. tutahama hii bank
Chagueni CCM
Mnachangia kampeni zaoCCM inaingiliana vipi na kuibiwa pesa zetu Bank?
Hahahaha, (Chama tawala, kimeshika hatamu).CCM inaingiliana vipi na kuibiwa pesa zetu Bank?
CCM wamejifunza kuiba kila kitu, wanaiba pesa,wanaiba kura,wajumbe wanaiba wake za watu. CCM ni Kama mchwa.Hahahaha, (Chama tawala, kimeshika hatamu).
Wakati nafungua uzi nilijua tuu kuna watu wataihusisha CCM.
Changieni Flyover bana,😂😂😂Benki ya CRDB jibuni hizi tuhuma haraka kabla hamjachafua hadhi yenu
View attachment 1586682
msiichafue benki kongwe kama hii.peleka malalamiko yako mahali husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwendamsiichafue benki kongwe kama hii.peleka malalamiko yako mahali husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mtu mzima uliyesoma mpaka darasa la saba unaadika kama mtoto wa Chekechea?Ili ata mimi linani tokea sana tu mala wanitumie text nimewekewe pesa mala mtu katoa lakini according tu wao wana sema ni system tu.maana salio langu uwa ali badiliki after iyo text View attachment 1586685
SUBIRI KIDOGO
hapana mimi ni mtu nusu na Hayo haya kuhusu wewe .fata yanayo kuhusu wewe nyambafu stress zako peleka ukooo.Wewe ni mtu mzima uliyesoma mpaka darasa la saba unaadika kama mtoto wa Chekechea?
Ukisha-post kitu chochote hapa, kinahusu member yeyote. Stress unazo wewe usiyejua kuandika kiswahili na ukiambiwa unatukana matusi! Mtu mzima unashindwa na mtoto wa darasa la kwanza! Idiot!hapana mimi ni mtu nusu na Hayo haya kuhusu wewe .fata yanayo kuhusu wewe nyambafu stress zako peleka ukooo.
SUBIRI KIDOGO
Usha apply kazi maana nafasi ni elfu 13 tu walimu mna stress za maishaUkisha-post kitu chochote hapa, kinahusu member yeyote. Stress unazo wewe usiyejua kuandika kiswahili na ukiambiwa unatukana matusi! Mtu mzima unashindwa na mtoto wa darasa la kwanza! Idiot!