Baadhi ya wanawake wa MMU dili imebumbuluka live

Baadhi ya wanawake wa MMU dili imebumbuluka live

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
10,745
Reaction score
29,220
Wana MMU hii sikuitegemea na nilikuwa nabishana sana.

Ishu iko hivi.

Nina mshikaji wangu anaofisi yake ya mambo ya IT ni mtaalam mzuri tu wa masoftwere na kijiofisi chake kinachanganya sana kwani amewin wateja wengi.

Mara chache chache huwa namtembelea kwenda kumpa kazi zangu au hata kwa stori.

Sasa jana nilipokuwa kwake akaja bradhameni mmoja na laptop yake airekebishe then akasepa kwa miadi kuwa angerudi mida kidogo maana ilikuwa imemzimikia gafla wakati anaitumia.

IT akaitengeneza kitu kikawa kiko powa.

Sasa katika kujaribu jaribu ile laptop kumbe jamaa alikuwa yuko online JF na hakulog out nahisi kwa kuwa chombo kilimzimikia gafla.

IT akawa na busara akataka kutoka kwenye ile page lakini nikashupalia japo tujue anatumia jina gani.

ASTAGHAFURLAH uwezi amini jamaa anatumia nickname ya kike maarufu sana hapa JF tena yenye avatar ya mwanamke mzuri mzuri hivi.

Halafu amekuwa akianzisha nyuzi nyingi sana humu na kupata koment kibao hasa kutoka kwa members ambao nahisi ni wanaume.

MY TAKE: Kwa wale mliozoea kuchat PM kwakufikiri kuwa mnachati na mabinti plz inawezekana mkawa mnachati na midume wenzenu.

Kweli JF ni zaidi ya uijuavyo.
 
Mmmmhhh hii haiwez likawa jambo la kushtua sana....kama majina tunayotumia ni fake ss ajabu nn hapo??
 
Utatumiaje jina na pic ya kike kama we dume?but ujumbe umemfikia, au chakula ya wazee we never know.
 
Aise kumbe unaweza kuwa unapiga mistari, unafurahi nmempata mrs sr bachelor kumbe ni mtoto wa cameron
 
mh hatari sana DUME ZIMA KUJIPA ID YA KIKE HUYO NI SHOGA TU,MWANAUME RIJALI AWEZI FANYA HAYO,but all in all mtandao ni kichaka,lol
 
Mnawabania wenye jinsia zao, waacheni wahusika
 
ndo mana naogopa sana PM jamani... unaeza kuta mtu msofty kwenye thread unaona umepata chat met kumbeeeeeee gubegube lililomshinda mtume
 
Back
Top Bottom