Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Mkuu shukrani sana kwa elimu uliyoitoa!

Mkuu, gari langu lina hali mbili zinazoninyima raha

1. Silencer ya gari inakuwa katika mngurumo mkubwa hata ukipark huku engine ipo on au wakati wa foleni mngurumo wake ni mkubwa hata ukiwa mbali kidogo unaisikia na sauti lake la bezi bezi hivi, hii shida ni nini?

2. Wakati wa kuendesha pole pole hata ukipandisha mlima kwa haraka kama unawahi ili uingie njia kuu au unapandisha gari polepole popote pale, kuna kama mkwaruzo fulani ndani ndani hata sielewi ni nini, nimepeleka kwa mafundi hola, shida ni nini?

3. Gari linachelewa kushika kasi au moto hasa wakati wa kuovertake, yaani mpaka nijipange kweli ndo niovertake kwa nafasi aisee

Solution zake ni zipi?
 
Mkuu shukrani sana kwa elimu uliyoitoa!

Mkuu, gari langu lina hali mbili zinazoninyima raha

1. Silencer ya gari inakuwa katika mngurumo mkubwa hata ukipark huku engine ipo on au wakati wa foleni mngurumo wake ni mkubwa hata ukiwa mbali kidogo unaisikia na sauti lake la bezi bezi hivi, hii shida ni nini?...

Kwanza pole Mkuu.

1. Shida ya muungurumo mkubwa inaweza kuwa muffler au leak kwenye bomba la moshi. Mafla nyingi haziishi zaidi ya miaka 10 so huwa zinakuwa damaged baada ya miaka kadhaa.

2. Aiseee huo mkwaruzo labda mpaja na mm niusikie kwanza.

3. Solve kwanza tatizo la mafla then tuangalie maana engine inahitaji back pressure. Ingawa pia hili linaweza kusababishwa na ishu zingine. Maana its like gari inaccelerate au kuchanganya kwa shida... Hapo mpaka kukagua baadhi ya vitu labda.
 
Huwa naangalia asubuhi ikiwa parking na ipo juu ya ile level inayotakiwa.

Inatakiwa kuwa in between max na min. Pia ndio kama nilivosema kuwa baadhi ya gearbox unaangalia ikiwa parking na zingine unaangalia ikiwa Neutral.
 
Ahsante kwa elimu

Mie gari yangu nikiwa nimesimama kwenye foleni ikiwa kwenye drive engine inatetemeka sana, ila nikiweka neutral inatulia.
Hilo linaweza kuwa tatizo gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Okay kwa haya maelezo yako inawezekana mountings za gearbox zikawa zimekufa. Kwenye gearbox mounting huwa inakuwa moja mpaka tatu.

Tafuta fundi akuchekie hizo mkuu.
 
Haina shida mkuu. Pia karibu sana.
Ukija Dsm tujulishe, gari yangu inawaka taa ya engine ikiwa switch on ila uki start haiwaki, kwa kawaida nmezoea taa za dashboard zatakiwa ziwake kwenye start na kuzima, sio kuzima mpaka ikiwa ume start engine!
 
Ukija Dsm tujulishe, gari yangu inawaka taa ya engine ikiwa switch on ila uki start haiwaki, kwa kawaida nmezoea taa za dashboard zatakiwa ziwake kwenye start na kuzima, sio kuzima mpaka ikiwa ume start engine!

Haina shida mkuu nasettle mambo I hope week ya kuanzia tar 13 mwezi wa 7 nitatua huko.
 
Unafanya checking ya wire ring ya gari? Huwa natamani kufanya checkups kwa mafundi civilised, wengine anakuropokea mambo hata sio tatizo ila haraka zake tuu.
Haina shida mkuu nasettle mambo I hope week ya kuanzia tar 13 mwezi wa 7 nitatua huko.
 
Gari yangu wanashauri uangalie level ya ATF ikiwa kwenye maximum operating temperature....
Halafu kuangalia level ya ATF kwenye gearbox inatofautiana baina ya gearbox na gearbox. Zipo ambazo wanashauri uangalie ikiwa kwenye Parking na zipo ambazo wanashauri uangalie ikiwa kwenye Neutral.
 
Ni ile inayokwenda kwenye sehemu ya 'resi' ( sehemu ya kebo ya kuvuta mafuta) mkuu, utanisamehe sizijui lugha ya kitaalam tunanukuu kwa mafundi wetu wa uswahilini tu.


Mkuu jana mambo yalikuwa mengi nikashindwa kukujibu.

Ila kuhusu hiyo case ya gari yako, Kwanza kabisa unatakiwa kujua kwamba gearbox haitegemei tu hiyo transmission cable pekeyake ili kubadili gear. Kuna taarifa kutoka kwenye sensors kama TPS sensor, CKP sensor, MAF na MAP(Hizi mbili hutumika kujua engine load) na Vehicle speed sensors(VSS) ambazo huwa zinakuwa kwenye gearbox.

Sasa:-

1. Huenda hiyo cable ndio ilikuwa first choice ya gari kubadili gear na hiyo cable ilipoanza kuleta shida baadhi ya gear ukawa hupati.

2. Ilipoondolewa hiyo cable maana yake TCM au PCM(hizi ni control module) ikawa haipati signal ya hiyo cable hivyo ikaamua kutumia sources zingine ili kushift gears. Ndio maana ukaona unapata gear zote.

Kuna uwezekano mkubwa hizo VSS ndio zikawa zinatumika kushift gears kwa sasa. Changamoto inayoweza kukupata siku za mbeleni ni kwamba kama hizo VSS nazo zitaleta shida basi tatizo linaweza kuwa kubwa kuliko hata ilivokuwa mara ya kwanza. Na kama ukirudi kwa fundi solution atakayokupa inaweza kuwa kubadili gearbox.

In short hiyo cable huwa inakuwa na mechanism yake ndani ya gearbox. Hivyo lile tatizo la mwanzo sababu inaweza kuwa kulegea kwa cable au shida yoyote kwenye hiyo mechanism.
 
Mkuu jana mambo yalikuwa mengi nikashindwa kukujibu.

Ila kuhusu hiyo case ya gari yako, Kwanza kabisa unatakiwa kujua kwamba gearbox haitegemei tu hiyo transmission cable pekeyake ili kubadili gear. Kuna taarifa kutoka kwenye sensors kama TPS sensor, CKP sensor, MAF na MAP(Hizi mbili hutumika kujua engine load) na Vehicle speed sensors(VSS) ambazo huwa zinakuwa kwenye gearbox...
Akhsante mkuu
Nifanyeje kwa sasa kabla mambo hayaharibika?
 
Back
Top Bottom