Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Mambo Tanzanians!

Sasa kijana changamkia fursa chap ya uuzaji vyakula katika mahoteli makubwa makubwa na mama/ baba lishe ukipenda lakini.

1. Mboga mboga za majani

2. Kuku wa kisasa kilo kuanzia 1.6kg

3. Mchele

4. Unga sembe uwe laini

5. Unga ngano uwe laini

6. Mafuta ya kupikia ( alzeti, mawese au kawaida)

7. Matunda

Gharama

a) Usajili wa shughuli yako Tsh.20,000 brela hao.

b) Tafuta vitabu vya stakabazi uviweke nembo ya jina la biashara yako, Tsh.10,000

c) Daftari la kumbukumbu kwa wateja, Tsh. 5,000

d) Nauli ya kutafuta oda kwa wiki Tsh.15,000

e) Mtaji wa biashara kuanzia Tsh.50,000 na kuendelea

Ufupisho

* Mtaji = Tsh.50,000 na kuendelea itategemea unataka kusupply mzigo gani.

* Kiendesha mtaji = Tsh.50,000

Maelekezo

1. Sajili kikampuni chako cha "Sole Proprietor" kutoka BRELA kiroho safi uwe rasmi kibiashara.

2. Andaa mikataba yako safi, itengeneze mwenyewe hata ukishindwa gugo mifano ya mikataba ya kazi au biashara utajiongeza sasa na wewe cha kuandika. Kaa nayo uitunze muda ukifika itatumika.

3. Hakikisha unakuwa nadhifu muda wote pia jifunze lugha ya kibiashara.

4. Usiogope jengo lolote rafiki; jiamini vya kutosha bwana. Mfano ukienda hotelini ulizia mtu wa manunuzi wa hoteli au anayehusika na upokeaji oda ya bidhaa. Niamini utafurahia biashara yako.

5. Uwe na uwezo wa kiakili hapa namaanisha uwe mjanja mwepesi kusoma akili ya unayeongea nae. Ukikuta anajiweka anajua ung'eng'e na wewe tiririka vya kutosha ata ukiongea broken biashara ndivyo ilovyo mzee baba.

6. Ukikwama sehemu njoo hapa jukwaani tupeane maujuzi.

Angalizo: Usitoe hela hata iweje.


Karibu!
 
Mbona nikijumlisha napata 100,000/= then unakuja unasema mtaji 50,000/= hii imekaaje au ile 50,000/= nyingine sijui nauri, kusajiri nk sio sehemu ya mtaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Capital = Tsh.50,000

Working Capital = Tsh.50,000

Jumla ni Tsh.100,000/=

NB
Working capital inahusisha mtaji wezeshi wa kibiashara mfano matumizi ya aina yoyote niliyoyataja.

Mtaji/ Capital ni fedha itakayotumika kwa bidhaa au huduma tu. Haihusishi matumizi mengine

Hiyo ndio maana yangu.
 
1, 2 na 12 zinanihusu kabisa mkuu, yaani ujuzi nilionao naweza pata biashara zaidi ya 10, hobby yangu inanipa zaidi ya biashara 5, na kuhusu kuiga idea hapo nishaona idea kama 2 hivi kutoka majuu na zote ni fire.
Tatizo ni kuwa hayo yote hapo juu yanabaki ndoto za maisha yangu kwani sina hata shilingi kumi kuyaanzisha.
Pia nchi yetu haina mpango mzuri wa uwezeshaji, hasa kuwekeza katika maendeleo ya teknolojia ni zero error, siku hizi tunaona hata elimu imewekwa kisiasa, too sad. trust me, nipo blessed kinyama coz chochote nachotaka fanya nikiamua nafanya na unaweza usijue kama nafanya for first time. aisee inauma sana hii nchi ina wataalamu kibao sema mipango ndo mibovu.
 
Vizuri
 
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Network marketing
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko nchi gani huyu jamaa?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo lako nimelipenda, naanza kulifanyia kazi sasa hivi, vipi gharama za kusajiri sole proprietorship ni shilingi ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…