Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Ya mkuu ni wewe tu, Watu engi uoga tulio nao uko ktika sehemu hizi

1. Kuchekwa
2. Kudharauliwa mtaani,
3. Kuhofia kama ukiflisika mpenzi wako unaye mpeda sana atakula kona,
4. Majirani wenzako watakupiku make ushazoea kushindana kimaisha hapo mtaani
5. Kuhofia kupoteza pesa zote
6. Kufofia lawama kutoka kw wazazi make ulishazoea kuwatoa na sasa hutakuwa unawatoa kwa wingi kama zamani,

7. Kuhofia kupoteza washikaji wa mtaa ambao mlikuwa mnabadili viwanja kila siku,

8. Kazini kwangu watanishaangaa sana na kuniona kama nimechanganyikiwa vile,

9. Nilikuwa napiga sana misere na gari la ofisi sasa itanibidi niwe na piga mguu au kupanda Toyo,

UKIYAZINGATIA HAYA HAKIKA, UJASIRIAMALI SI SEHEMU YAKO, NA HUTAWEZA KAMWE
Mkuu naomba ushauri mimi nimeanzisha biashara ya kuuza vifaa vya simu japo vichache kama earphone,headphone,charger ,battery ndogo za simu cover za simu japo ni chache na vingine japo baadhi tu ni hayo sasa leo siku ya 4 lakin sijapata mteja hata mmoja toka nifungue sasa kwa mawazo yangu ya haraka haraka nataka nianze kutembeza mtaani japo nipate chochote je haya mawazo yakoje mkuu ,naomba ushauri wako
 
Ni kweli mitaji ni changamoto kubwa sana kwa tulio wengi,
Lakini hiyo siyo sababu yenye mashiko kwa mtu Anaetaka kuwa mjasiriamali(mfanya biashara)

Shida kubwa tulizo nayo Watanzania wengi ni uvivu wa kutumia hobi zetu, tunachokipenda ni kuangalia Fulani anafanya biashara fulani na inamuingizia kipato basi nae anaenda kufungua biashara ileile tena eneo hiloholo analofanyia alie muona anafanya hiyo biashara

Ni afadhari uige biashara lakini ukafungue eneo lingine,

Jamani tubadilike watoto wa mama SAMIA, tusiige tu biashara bila kuzifanyia uchinguzi,

Ukiona mwenzio anauza Nguo za kike wewe Uza viatu, hapo tutaweza kutokomeza umaskini
Tumejawa na wivu na roho mbaya
 
Mkuu naomba ushauri mimi nimeanzisha biashara ya kuuza vifaa vya simu japo vichache kama earphone,headphone,charger ,battery ndogo za simu cover za simu japo ni chache na vingine japo baadhi tu ni hayo sasa leo siku ya 4 lakin sijapata mteja hata mmoja toka nifungue sasa kwa mawazo yangu ya haraka haraka nataka nianze kutembeza mtaani japo nipate chochote je haya mawazo yakoje mkuu ,naomba ushauri wako
Fanya hivo kiongozi, ingekuwa vzuri na hapo dukan unamuacha mtu.. nahuko mtaani pia unawadirect hapo dukan ili wajue dukan kwako pia
 
Upo sahihi kabisa biashara nzuri ni ile inayotokana na hobbie yako na kile unachokipenda kwa 100% hapo utaifanya kwa moyo na upendo na itadumu na itasonga mbele halikadhalika itakuletea mafanikio hata ikiwa kwa kuchelewa kidogo
 
Back
Top Bottom