defashi
Member
- Jan 16, 2019
- 21
- 2
Wapo watu wanaweka matangazo ya kazi.
Watu wanafanya application na wanapewa hadi sehem na tarehe ya interview.
Ila wakienda wanakutana na semina za Network Marketing.
Me naona hii sio fair cos watu wanajiandaa kwa interview na nguo wanapasi then unaenda kuambiwa utafute watu watatu cjui blaa blaa na kianzio juu.
Wahusika mtaniwia radhi.
Watu wanafanya application na wanapewa hadi sehem na tarehe ya interview.
Ila wakienda wanakutana na semina za Network Marketing.
Me naona hii sio fair cos watu wanajiandaa kwa interview na nguo wanapasi then unaenda kuambiwa utafute watu watatu cjui blaa blaa na kianzio juu.
Wahusika mtaniwia radhi.