Aliamua mwenyewe kuachia uwaziri mkuu baada ya kutakiwa kufanya hivyo na bunge?..kwanini hakujiuzulu kabla ya repoti ya mwakyembe kuundwa na kuwekwa hadharani?..yule mpigaji hakujiuzulu alifukuzwa na alistahili kufukuzwa
walikubaliana na mkuu wa kaya bwana Mrisho baba ake Rizione akamtonya mshkaji wake Mamvi ebanah hali mbaya jiuzulu alafu nitakupigia debe 2015 uwe raisi baada ya yangu wala usiwe na stress alafu mshahara wako utakuwa huko pale pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.